KAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam,Kamishna Suleiman Kova (wa nne kutoka kushoto) amewataka askari wote wa Kanda hiyo kufanya kazi kwa weledi, kuzingatia haki za binadamu, na kufuata maadili ya kazi katika utendaji wao wa kila siku.
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXWfzptwq7rgEgMNdHTNxmdKzB8SG-k322AJ3LRKAygTCf9*1Val8*ZJpAAKIOxpjY0o1ytPAxB605--nawNpeJu/image.jpg?width=650)
MKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Watumishi wa kada za afya watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy...
9 years ago
Michuzi17 Aug
WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI NA UBUNIFU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/178.jpg)
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/254.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watumishi wa kada za afya nchini watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili na viapo vya taaluma zao
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S_aDV7Gr4YM/UvN0vw1qGrI/AAAAAAAFLLo/RC9Sevn7NuI/s72-c/unnamed+(53).jpg)
KAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-S_aDV7Gr4YM/UvN0vw1qGrI/AAAAAAAFLLo/RC9Sevn7NuI/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KAOHuS9KJS0/UvN0v0WTmJI/AAAAAAAFLLs/5bpuPfZa-00/s1600/unnamed+(54).jpg)
9 years ago
StarTV19 Aug
Wanahabari wahimizwa kufanya kazi kwa weledi
Waandishi wa habari wametahadharishwa juu ya ukiukaji mkubwa wa maadili unaofanywa hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu oktoba mwaka huu kwani hali hiyo ikiendelea inaweza kusababisha kuwepo kwa machafuko nchini.
Aidha imeelezwa kuwa ukiukwaji mkubwa ni ule wa waandishi kuamua kuwa wasemaji wakuu wa wagombea kuandika habari za kichochezi bila kuchuja na kubeba baadhi ya wagombea hata ambao hawana sifa kwa maslahi yao binafsi hali inayofanya jamii kutokuwa na imani na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s72-c/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
MABARAZA YA WAFANYAKAZI TAASISI ZA ELIMU YA JUU YATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Heu0Cykqa5U/VTD5QwP5D-I/AAAAAAAHRp4/F-8u-HYf2oI/s1600/TIA%2B-%2Bno%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s0m_jKkKdFU/VTD5QoqOyzI/AAAAAAAHRpo/Gy64p3dF454/s1600/TIA%2B-2.jpg)