Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi wa kada za afya watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili

IMG-20160105-WA0026Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).IMG-20160105-WA0030

IMG-20160105-WA0029Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.IMG-20160105-WA0031Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Watumishi wa kada za afya nchini watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili na viapo vya taaluma zao

IMG-20160105-WA0026

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.

IMG-20160105-WA0030

Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.

IMG-20160105-WA0029

Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.

IMG-20160105-WA0031

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,...

 

10 years ago

Michuzi

KAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI

Kamanda wa Polisi  Kanda Maalum ya Dar es salaam,Kamishna Suleiman Kova (wa nne kutoka kushoto) amewataka askari wote  wa Kanda hiyo  kufanya kazi kwa weledi, kuzingatia haki za binadamu, na kufuata maadili ya  kazi katika utendaji wao wa kila siku.
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watumishi watakiwa kufanya kazi kwa bidii, uwajibikaji na ushirikiano

1.

Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.

2.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti...

 

9 years ago

Michuzi

WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI NA UBUNIFU

1
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao. 2
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi wa Mungu watakiwa kuishi kwa maadili

WATUMISHI wa Mungu wametakiwa kuzingatia maadili katika maisha yao kwa kuishi kwa tabia njema ili waweze kushiriki kazi ya kulea na kuwalisha wanadamu maneno ya kiroho. Kauli hiyo ilitolewa na...

 

10 years ago

Michuzi

WAFUGAJI WATAKIWA KUFANYA SHUGHULI ZAO KWA KUFUATA SHERIA-CCWT

 Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.  CHAMA cha wafugaji Tanzania (CCWT),kimewataka wafugaji wote nchini kufanya shughuli zao kwa kufuata sheria, pia hawataki kuona wafugaji wakifanya uonevu wa aina yoyote kwa watu wengine. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT),Magembe Makoye wakati akizungumza na wandishi wa habari katika ukumbi wa Habari MAELEZO leo jijini Da es Salaam. Makoye Amesema kuwa wafugaji watambue kuwa kunakutegemeana na watu wengine katika kuendesha...

 

9 years ago

Mtanzania

Waandishi wa habari watakiwa kufuata maadili

Tabu-ShaibuNA ESTHER MNYIKA, DAR ES SALAAM

WADAU wa habari wamewataka waandishi wa habari kufuata maadili ya taaluma yao ili kuwezesha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu kuwa huru na haki.

Akizungumza Dar es Salaam juzi katika Kongamano la Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam (DCPC),  Ofisa Habari kwa Umma wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, aliyemwakilishi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, alisema wadau wote wa habari wanajua kuwa uchaguzi mara nyingi unasababisha matatizo...

 

9 years ago

StarTV

Waangalizi wa EAC waahidi kufanya kazi kwa kufuata sheria katika Uchaguzi mkuu.

Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu Tanzania kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imezinduliwa jijini Dar es Salaam na kusema itafanya kazi yake kwa kufuata sheria za nchi na kanuni za jumuiya hiyo.

Timu hiyo ina jumla ya waangalizi 67 wa kutoka nchi NNEe kati ya tano ambao ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, Mwenyekiti akiwa Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Moody Awori.

 Waangalizi hao miongoni mwao ni wabunge wa        Bunge la Afrika Mashariki, Tume za Taifa za Uchaguzi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani