Wanahabari wahimizwa kufanya kazi kwa weledi
Waandishi wa habari wametahadharishwa juu ya ukiukaji mkubwa wa maadili unaofanywa hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu oktoba mwaka huu kwani hali hiyo ikiendelea inaweza kusababisha kuwepo kwa machafuko nchini.
Aidha imeelezwa kuwa ukiukwaji mkubwa ni ule wa waandishi kuamua kuwa wasemaji wakuu wa wagombea kuandika habari za kichochezi bila kuchuja na kubeba baadhi ya wagombea hata ambao hawana sifa kwa maslahi yao binafsi hali inayofanya jamii kutokuwa na imani na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI
10 years ago
MichuziKAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...
10 years ago
MichuziMABARAZA YA WAFANYAKAZI TAASISI ZA ELIMU YA JUU YATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI
10 years ago
GPLMWIGULU AYATAKA MABARAZA YA WAFANYAKAZI WA TAASISI ZA ELIMU YA JUU KUFANYA KAZI KWA WELEDI
9 years ago
Michuzi17 Aug
WATAALAM WA TEHAMA NCHINI TANZANIA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI, WELEDI NA UBUNIFU
Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu akifungua mkutano wa kwanza wa mwaka wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Zaidi ya wataalam wa TEHAMA 500 kutoka Wizara, Idara, Wakala,Taasisi, Halmashauri wako jijini Arusha kujadili mafanikio na changamoto za Serikali mtandao.
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt.Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kuhusu Serikali Mtandao kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Serikali Mtandao unaofanyika katika...
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Mh. Mwigulu ayataka mabaraza ya wafanyakazi ya taasisi za elimu ya juu yatakiwa kufanya kazi kwa weledi
Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba (katikati) akiwa ameambatana na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania Dkt. Joseph Kihanda (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara Prof. Isaya Jairo kabla ya kuzindua Baraza la Pili la Wafanyakazi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) lililojumuisha wawakilishi kutoka matawi 6 ya taasisi hiyo katika mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza , Mtwara, Dar es salaam na Mbeya.
Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mhe. Mwigulu Nchemba wakati...
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wahimizwa kufanya kazi kwa kasi ya Dk Magufuli
WAHITIMU wa kozi mbalimbali katika Chuo Kikuu cha Tumaini, Makumira tawi la Mbeya, wametakiwa kuendana na kasi ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwa wabunifu na wenye kutekeleza majukumu yao kwa tija zaidi.
11 years ago
MichuziKAMISHNA WA SENSA ATOA SOMO KWA WADADISI NA WAHARIRI WA MADODOSO YA UTAFITI WA WATU WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI 2014 KUZINGATIA MAADILI NA WELEDI