Wahimizwa kufanya kazi kwa kasi ya Dk Magufuli
WAHITIMU wa kozi mbalimbali katika Chuo Kikuu cha Tumaini, Makumira tawi la Mbeya, wametakiwa kuendana na kasi ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwa wabunifu na wenye kutekeleza majukumu yao kwa tija zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV19 Aug
Wanahabari wahimizwa kufanya kazi kwa weledi
Waandishi wa habari wametahadharishwa juu ya ukiukaji mkubwa wa maadili unaofanywa hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu oktoba mwaka huu kwani hali hiyo ikiendelea inaweza kusababisha kuwepo kwa machafuko nchini.
Aidha imeelezwa kuwa ukiukwaji mkubwa ni ule wa waandishi kuamua kuwa wasemaji wakuu wa wagombea kuandika habari za kichochezi bila kuchuja na kubeba baadhi ya wagombea hata ambao hawana sifa kwa maslahi yao binafsi hali inayofanya jamii kutokuwa na imani na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s72-c/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s640/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/74f9846a-cdee-4c35-839d-5114e1a66496.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Vijana wahimizwa kwenda na kasi ya Rais Magufuli
MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, amewataka vijana kuunga mkono hatua za Rais John Magufuli kuhimiza kasi ya uwajibikaji katika kazi kuleta maendeleo. Alitoa mwito huo jana mjini hapa alipozungumza na waendesha bodaboda ambao ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Ruhuwiko.
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?
MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki
Lula wa Ndali Mwananzela
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
MODEWJIBLOG: Watanzania tuache kufanya kazi kwa Mazoea, Rais Dk.Magufuli tembelea na huku!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipotembelea kwa mara ya kwanza Wizara ya Fedha, safari ambayo ilikuwa ni ya ghafla.
Na. Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Kwa sasa kila zungumzo la Mtanzania ni juu ya safari za kushtukiza za Rais wa awamu ya tano, Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli ambaye ameacha gumzo kwa kuanza kwa kishindo na dhana yake ya ‘Hapa Kazi Tu’!.. Kwa kutuonjesha tu, ametembelea Wizara ya Fedha safari ya kushtukiza na kuamsha hali ya utendaji wa...
11 years ago
MichuziMAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iieJFNVyN48/Xvbw0ilk2uI/AAAAAAABMnk/DRSFCV9v4-w0jfFI9DZ4mJ1ZcR065SszACLcBGAsYHQ/s72-c/Ebf9VKaWsAA5cM8.jpeg)
WAITARA: KUFANYA KAZI NA RAIS MAGUFULI INABIDI UJIPANGE NI MCHAKAMCHAKA KWELIKWELI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iieJFNVyN48/Xvbw0ilk2uI/AAAAAAABMnk/DRSFCV9v4-w0jfFI9DZ4mJ1ZcR065SszACLcBGAsYHQ/s400/Ebf9VKaWsAA5cM8.jpeg)
@MagufuliJP inabidi ujipange ni mchakamchaka kwelikweli, yaani anazungumza kama hataki lakini ndiyo anamaanisha hivyo. Ukilipwa mshahara ujue umefanya kazi kweli" - Mwita Waitara, Naibu Waziri TAMISEMI
10 years ago
Habarileo08 Jan
Waziri Magufuli aagiza kivuko cha Kigongo-Busisi kufanya kazi saa 24
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ameagiza uongozi kivuko cha Kigongo- Busisi mkoani hapa, kufanya kazi kwa saa 24 ili kumudu ongezeko kubwa la abiria watokao Geita, Kagera lililotokana na meli ya Mv Victoria kusitisha safari zake.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
UKWELI UTAKUWEKA HURU : Dawa ya Zanzibar ni Rais Magufuli kukubali kufanya kazi na Maalim Seif