MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XzwDDoxNUE/Xty29Rb1wqI/AAAAAAALs6E/tGQv3B0uzOs7HOUOKLc7QZJsIB_q1R-2ACLcBGAsYHQ/s72-c/54fcb045-82b2-49ec-8043-015958d653df.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, akiangalia nyama katika Bucha la Kijiji cha Malolo, jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwawa, Mkoani Dodoma, leo. Waziri huyo amesema utendaji kazi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli umesambaratisha upinzani nchini. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9w-1z5-sMMY/XtyUNEqyIwI/AAAAAAAC6-8/kHtOZdrFWBMH65nguuIFmo91lzuYr5j4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE: MITAMBO MIPYA NIDA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9w-1z5-sMMY/XtyUNEqyIwI/AAAAAAAC6-8/kHtOZdrFWBMH65nguuIFmo91lzuYr5j4wCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mitambo hiyo ya kisasa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 144,000 kwa siku, ilishafungwa muda mrefu ofisini za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na ilipaswa iwe imenza kufanya kazi tangu mwezi Aprili, mwaka huu lakini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona ilichelewa kuanza kufanya kazi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CVFfnspCtyo/Xty4PN1vg3I/AAAAAAABMUY/UcZBYR3mwzsLxcOv6tqgtHDGiajycaEbQCLcBGAsYHQ/s72-c/EZ456IoWoAAv-Vz.jpeg)
MITAMBO MIPYA YA NIDA YA KUZALISHA VITAMBULISHO 180,000 KWA SIKU YAWASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CVFfnspCtyo/Xty4PN1vg3I/AAAAAAABMUY/UcZBYR3mwzsLxcOv6tqgtHDGiajycaEbQCLcBGAsYHQ/s400/EZ456IoWoAAv-Vz.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s72-c/IMG_1385.jpg)
KINANA ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA MITAMBO MIPYA YA MAJI RUVU CHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZQN9OxCHa4/UzTkWw5TqPI/AAAAAAACdkU/ABuX_hFVz2E/s1600/IMG_1385.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1Ehbpl8K2QI/UzTktARLNKI/AAAAAAACdks/yNHvD535kd4/s1600/IMG_1391.jpg)
5 years ago
MichuziKIWANDA CHA AFRICAB KUFUNGA MITAMBO MIPYA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI WA NYAYA
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji kiwandani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati Dustan Kitandula akipewa maelezo na Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. kuhusu uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho
Mtendaji Msaidizi wa AFRICAB Gina Kunjal akifafanua ...
5 years ago
Bongo514 Feb
Rais Magufuli aamuru madaktari 258 walioomba kufanya kazi nchini Kenya waajiriwe nchini mara 1
Mnamo tarehe 18 Machi 2017 Ujumbe wa Serikali ya Kenya ukiongozwa na Waziri wa Afya Dkt. Cleopa Mailu uliwasili nchini ambapo ulikutana na Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dhumuni la mkutano huo ulikua kuomba kuajiri, kwa Mkataba, Madaktari wa Tanzania mia tano (500), ili kupunguza uhaba wa Madaktari nchini Kenya.
Mheshimiwa Rais JPM, alikubali ombi hilo.
Mnamo tarehe 18 Machi, 2017, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na...
11 years ago
MichuziNIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ctVHLpz9aSs/XsYrI4FyjYI/AAAAAAAC5v4/_GmnKr2D0h8yINdlgWB4zfL7UEUAN9-QgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AMEWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ctVHLpz9aSs/XsYrI4FyjYI/AAAAAAAC5v4/_GmnKr2D0h8yINdlgWB4zfL7UEUAN9-QgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
1. Dkt. Godwin Oloyce Mollel kuwa Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake Wazee na Watoto.
2. Dkt. Delphine Diocles Magere kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani.
3. Dkt. Jacob Gideon Kingu kuwa Balozi wa Tanzania nchini Algeria
4. Balozi Mteule Phaustine Martin Kasike kuwa Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji
5....
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wahimizwa kufanya kazi kwa kasi ya Dk Magufuli
WAHITIMU wa kozi mbalimbali katika Chuo Kikuu cha Tumaini, Makumira tawi la Mbeya, wametakiwa kuendana na kasi ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuwa wabunifu na wenye kutekeleza majukumu yao kwa tija zaidi.
9 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI AWAAPISHA LEO MAWAZIRI WAPYA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CgQvm1a54zI/VoEBkvE--OI/AAAAAAAAqPk/Q-jcG8qzT6E/s640/PICHA%2B3.png)