Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MITAMBO MIPYA YA NIDA YA KUZALISHA VITAMBULISHO 180,000 KWA SIKU YAWASILI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema mitambo mipya ya uzalishaji wa vitambulisho vya taifa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 180,000 kwa siku, itaanza kufanya kazi hivi karibuni baada ya wataalamu kuwasili nchini.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI SIMBACHAWENE: MITAMBO MIPYA NIDA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema mitambo mipya ya uzalishaji wa vitambulisho vya taifa itaanza kufanya kazi hivi karibuni baada ya wataalamu kuwasili nchini.
Mitambo hiyo ya kisasa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 144,000 kwa siku, ilishafungwa muda mrefu ofisini za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na ilipaswa iwe imenza kufanya kazi tangu mwezi Aprili, mwaka huu lakini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona ilichelewa kuanza kufanya kazi...

 

5 years ago

Michuzi

MITAMBO MIPYA NIDA KUANZA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI, KASI YA RAIS MAGUFULI IMESAMBARATISHA UPINZANI NCHINI-WAZIRI SIMBACHAWENE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, akiangalia nyama katika Bucha la Kijiji cha Malolo, jimbo la Kibakwe, Wilaya ya Mpwawa, Mkoani Dodoma, leo. Waziri huyo amesema utendaji kazi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli umesambaratisha upinzani nchini. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Kata ya...

 

5 years ago

Global Publishers

NIDA Yatoa Vitambulisho Vya Taifa Kwa Wabunge

unnamed-1

 Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa jimbo la Musoma, Mhe.Profesa Sospeter Muhongo
akipokea Kitembulisho chake cha Taifa chenye saini kwa furaha kubwa kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Na Hifadhi Hati NIDA. Bi. Rose Mdami.

unnamed-2

Waziri wa Katiba na na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe, akiwa mwenye furaha kubwa baada ya kuchukua Kitambulisho chake kipya Bungeni Dodoma. NIDA imeanza kutoa vitambulisho vipya vyenye saini kwa viongozi wakiwemo Waheshimiwa Wabunge zoezi linaloedelea...

 

11 years ago

Habarileo

Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi

MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mitambo ya TANESCO yawasili

AWAMU ya kwanza ya mitambo ya kufua umeme kwa ajili ya mradi namba moja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam imewasili bandarini. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

 

5 years ago

Michuzi

FORUMCC WAIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHADA ZAKE ZA UJENZI WA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME UNAOTOKANA NA JOTO ARDHI

Mkurugenzi wa Shirika la FORUMCC Rebecca Muna(kulia) akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari kuhusu maoni yao katika bajeti ya fedha ya mwaka 20/21 ya Wizara ya Nishati ambayo imezingatia umuhimu wa kuendeleza na kuimarisha matumizi ya nishati ya umeme itokanayo na jotoardhi. Kushoto ni Mratibu wa Miradi wa ForumCC Henry  Kazula.


Mratibu wa Miradi wa Shirika la ForumCC Henry  Kazula(kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa shirika hilo Rebecca Muna wakisikiliza maswali ya...

 

11 years ago

Michuzi

NIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE

 Waziri wa mambo ya ndani ya  nchi Mathias Chikawe  akiwa anafunga mkutano wa wafanyakazi wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa  uliokuwa unafanyika ndani ya hotel ya snowcrest jiji Arusha.  washiriki  katika mkutano wa Wafanyakazi wa  Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIda wakiwa wanamsikiliza waziri wa mambo ya ndani ya nchi kwa makini wakati akifunga mkutano wao katika hotel ya snowcrest waziri akiwa anapena mkono na mkurugenzi mara baada ya kutoa  risala ya kufunga mkutano huo Mkurugenzi...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA ARIDHISHWA NA KASI YA UPANUZI WA MITAMBO MIPYA YA MAJI RUVU CHINI

  KaTtibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Maji wa MCAT (Millenium Challenge Acount Tanzania,Bwana William Christian kuhusianana namna maji yanavyokusanywa na kusambazwa maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Pwani na Jiji la Dar,kati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar,Mh.Mecky Sadicky akisikiliza.  KaTtibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwaongoza viongozi wa CCM Wilaya ya Kinondoni kutembelea mitambo mipya baada ya upanuzi wa mitambo ya maji ya Ruvu Chini, wilayani...

 

5 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA AFRICAB KUFUNGA MITAMBO MIPYA KUONGEZA KASI YA UZALISHAJI WA NYAYA


Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji kiwandani.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati Dustan Kitandula akipewa maelezo na Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB   Yusuf Ezzi. kuhusu uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho

Mkurugenzi mwenza wa AFRICAB Yusuf Ezzi. akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati wakipewa maelezeo ya uzalishaji unaofanywa na kiwanda hicho

Mtendaji Msaidizi wa AFRICAB Gina Kunjal akifafanua ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani