Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi

MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MITAMBO MIPYA YA NIDA YA KUZALISHA VITAMBULISHO 180,000 KWA SIKU YAWASILI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema mitambo mipya ya uzalishaji wa vitambulisho vya taifa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 180,000 kwa siku, itaanza kufanya kazi hivi karibuni baada ya wataalamu kuwasili nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge aambulia mshahara 50,000/- kwa mwezi

WAKATI baadhi ya watu wakiamini wabunge hulipwa zaidi ya sh milioni 10 kwa mwezi, mmoja wa wabunge wa Bunge la Muungano, amejikuta akitoka na mshahara wa sh 50,000 kwa mwezi,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fastjet yabeba abiria zaidi ya 30,000 kwa mwezi

KAMPUNI ya ndege ya Fastjet imesema Desemba mwaka jana ilibeba abiria 37,458, ikiwa ni idadi kubwa kwa mwezi mmoja, hivyo kwa mwaka huu imeazimia kuendelea kutoa huduma bora. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ikulu yakanusha Rais kulipwa Dola 16,000 kwa mwezi

>Siku moja baada ya tovuti ya Mwananchi kunukuu habari zilizoripotiwa na Mtandao wa African Review, kuhusu mishahara ya marais wa Afrika na kwingineko duniani, Ikulu imekanusha habari hizo ikisema si za kweli.

 

10 years ago

Mwananchi

Zaidi ya visima 19,000 vyashindwa kutoa maji kwa ukosefu wa umeme

Deni la Sh13.5 bilioni limesababisha zaidi ya visima 19,000 kutotoa maji kutokana na kukosa umeme na kuathiri zaidi ya wananchi milioni nne.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Habarileo

Mamlaka za maji hupoteza bil. 2.5/- kila mwezi

MAMLAKA za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini, zinatajwa kupoteza takribani Sh bilioni 2.5 kila mwezi, kutokana na upotevu mkubwa wa maji yanayozalishwa na mamlaka hizo na ambayo hupotelea njiani kabla ya kufikia watumiaji.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunaifungaje Algeria kwa kamati za dakika 180?

JUMATANO ya Aprili 15, 2015, katika ukurasa huu niliandika makala kuhusu timu ya taifa Tanzania ‘

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

GPL

BABA AMUUA MTOTO KWA CHUPA YA BIA

Stori: Imelda mtema
Masikini wa Mungu! Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25), mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani na kusababisha mshipa mkubwa wa damu kukatika kichwani. Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kuumiza moyo, mama mzazi wa mtoto huyo, Matlida Amon alieleza kuwa tukio hilo lilijiri maeneo hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani