Tunaifungaje Algeria kwa kamati za dakika 180?
JUMATANO ya Aprili 15, 2015, katika ukurasa huu niliandika makala kuhusu timu ya taifa Tanzania ‘
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Dakika 180 Yanga SC bingwa
Dar es Salaam. Yanga inasubiri dakika 180 ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kuifunga Stand United ya Shinyanga kwa mabao 3-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwhaImj8R-Id-RS72fc3kBkyu-L1rhnA55cMBXOj9VjzDwo62B3p3pROwuOY4dCwtK**ZNwLxtDGO5TzaFtauvN/1.jpg?width=600)
Kocha Simba ataka dakika 180 kuimaliza Yanga
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amesema anahitaji mechi mbili zaidi zikiwa ni dakika 180 ili kuweza kukipima kikosi chake kabla ya mechi yao ya Mtani Jembe dhidi ya Yanga. Mechi ya Mtani Jembe inatarajiwa kupigwa Desemba 21 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Logarusic amepewa mkataba wa miezi sita wa kuitumikia Simba baada ya kutimuliwa kwa...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi
MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CVFfnspCtyo/Xty4PN1vg3I/AAAAAAABMUY/UcZBYR3mwzsLxcOv6tqgtHDGiajycaEbQCLcBGAsYHQ/s72-c/EZ456IoWoAAv-Vz.jpeg)
MITAMBO MIPYA YA NIDA YA KUZALISHA VITAMBULISHO 180,000 KWA SIKU YAWASILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CVFfnspCtyo/Xty4PN1vg3I/AAAAAAABMUY/UcZBYR3mwzsLxcOv6tqgtHDGiajycaEbQCLcBGAsYHQ/s400/EZ456IoWoAAv-Vz.jpeg)
11 years ago
Mwananchi27 Mar
‘Nilimhudumia Tuppa kwa dakika 25’
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Marco Nega amesema walimpokea Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa akiwa mahututi na alifariki dakika 25 za matibabu.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Facebook yapotea kwa dakika 40 duniani
Mtandao wa kijamii wa facebook ulikuwa hauingiliki katika maeneo mengi duniani mapema leo kabla ya huduma zake kurudi.
11 years ago
Mwananchi17 Mar
‘Dakika 60 kwa Warioba siyo haki’
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Julius Mtatiro amepinga hatua ya uongozi wa Bunge hilo kumpa saa moja Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wajumbe leo
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
'Moyo wangu ulisimama kwa dakika 45'
Moyo wa Ruby Graupera uliacha kudunda kwa dakika 45, madaktari walipokuwa wakimfanyia upasuaji waliwakusanya wanafamilia kwa ajili ya kusema buriani.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kimya cha dakika moja kwa wandishi
Wandishi wa BBC waliungana na wenzao wa kimataifa kukaa kimya kwa dakika moja kupinga hukumu dhidi ya wandishi wa Al Jazeera.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania