Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunaifungaje Algeria kwa kamati za dakika 180?

JUMATANO ya Aprili 15, 2015, katika ukurasa huu niliandika makala kuhusu timu ya taifa Tanzania ‘

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dakika 180 Yanga SC bingwa

Dar es Salaam. Yanga inasubiri dakika 180 ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kuifunga Stand United ya Shinyanga kwa mabao 3-2 katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Kocha Simba ataka dakika 180 kuimaliza Yanga

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khadija Mngwai
KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amesema anahitaji mechi mbili zaidi zikiwa ni dakika 180 ili kuweza kukipima kikosi chake kabla ya mechi yao ya Mtani Jembe dhidi ya Yanga. Mechi ya Mtani Jembe inatarajiwa kupigwa Desemba 21 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Logarusic amepewa mkataba wa miezi sita wa kuitumikia Simba baada ya kutimuliwa kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi

MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.

 

5 years ago

CCM Blog

MITAMBO MIPYA YA NIDA YA KUZALISHA VITAMBULISHO 180,000 KWA SIKU YAWASILI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema mitambo mipya ya uzalishaji wa vitambulisho vya taifa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 180,000 kwa siku, itaanza kufanya kazi hivi karibuni baada ya wataalamu kuwasili nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Nilimhudumia Tuppa kwa dakika 25’

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Marco Nega amesema walimpokea Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa akiwa mahututi na alifariki dakika 25 za matibabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yapotea kwa dakika 40 duniani

Mtandao wa kijamii wa facebook ulikuwa hauingiliki katika maeneo mengi duniani mapema leo kabla ya huduma zake kurudi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Dakika 60 kwa Warioba siyo haki’

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Julius Mtatiro amepinga hatua ya uongozi wa Bunge hilo kumpa saa moja Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wajumbe leo

 

10 years ago

BBCSwahili

'Moyo wangu ulisimama kwa dakika 45'

Moyo wa Ruby Graupera uliacha kudunda kwa dakika 45, madaktari walipokuwa wakimfanyia upasuaji waliwakusanya wanafamilia kwa ajili ya kusema buriani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kimya cha dakika moja kwa wandishi

Wandishi wa BBC waliungana na wenzao wa kimataifa kukaa kimya kwa dakika moja kupinga hukumu dhidi ya wandishi wa Al Jazeera.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani