Kocha Simba ataka dakika 180 kuimaliza Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpwhaImj8R-Id-RS72fc3kBkyu-L1rhnA55cMBXOj9VjzDwo62B3p3pROwuOY4dCwtK**ZNwLxtDGO5TzaFtauvN/1.jpg?width=600)
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic. Na Khadija Mngwai KOCHA Mkuu wa Simba, Zdravok Logarusic, amesema anahitaji mechi mbili zaidi zikiwa ni dakika 180 ili kuweza kukipima kikosi chake kabla ya mechi yao ya Mtani Jembe dhidi ya Yanga. Mechi ya Mtani Jembe inatarajiwa kupigwa Desemba 21 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Logarusic amepewa mkataba wa miezi sita wa kuitumikia Simba baada ya kutimuliwa kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Dakika 180 Yanga SC bingwa
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Yanga, Azam, Simba spidi 180
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s72-c/MMGL0169.jpg)
AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s1600/MMGL0169.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcG7nGUTfKs/VPx_b-JPmrI/AAAAAAADbqQ/vw34R5bUalk/s1600/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iOw-SP5Bt_Q/VPx_b4Yq6JI/AAAAAAADbqM/eqP8Gz6fDkk/s1600/MMGL0229.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-YANGA-3.jpg)
VPL: YANGA 2-0 SIMBA, DAKIKA 90 ZIMEKWISHA
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Dakika 45 za mwisho ngumu Simba, Yanga
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tunaifungaje Algeria kwa kamati za dakika 180?
JUMATANO ya Aprili 15, 2015, katika ukurasa huu niliandika makala kuhusu timu ya taifa Tanzania ‘
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE
KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...