Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wanacheza na Mbeya City leo kwenye Uwanja wa Sokoine, lakini kocha wao mkuu, Hans Pluijm amewaambia vijana wake ili mchezo huo uwe na manufaa kwao, waache na utovu wa nidhamu, wasiwaige wapinzani wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Hans Pluijm: Nimesajili wenye nidhamu Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ameeleza licha ya kusajili wachezaji bora katika kikosi chake, lakini pia nyota wake hao wana nidhamu ya hali ya juu hali inayomfanya aone hakuna cha kuizuia
Yanga kutwaa ubingwa na kufanya vizuri michuano ya kimataifa.
Mholanzi huyo alisema ubora wa kikosi chake na nidhamu ndiyo sifa kubwa itakayoiwezesha timu hiyo kufanya vizuri.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema anaamini ubora wa kikosi chake na...
10 years ago
Mwananchi16 Jan
Pluijm awaonya nyota Yanga
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Kocha Pluijm kustaafia Yanga
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.
Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZz*MzLSC2IUEo98aSWQFaID2qx4UOFwK6GD*dvBGX-qVqQANB*pPweiK8uzc9bmAdbbRSV8MWmkjbc2cvOfUd1/yanga.jpg?width=750)
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Mo Farah ataka majibu kuhusu kocha wake