Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.
Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Kiiza aahidi makubwa Yanga
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Kocha Pluijm kustaafia Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5TUGCs8p7*GGoraBuR3oBW-dVyKA6rAjbT1YPeVyR2WHwcmxNK0weu1wCaYMQUR15X2Hc5M8Uhl2-uE5emi0X3/mbelijiji.jpg?width=650)
Mbelgiji aahidi kufanya makubwa Yanga
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZz*MzLSC2IUEo98aSWQFaID2qx4UOFwK6GD*dvBGX-qVqQANB*pPweiK8uzc9bmAdbbRSV8MWmkjbc2cvOfUd1/yanga.jpg?width=750)
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Pluijm amtabiria makubwa Ngoma