Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Pluijm: Naheshimu maamuzi ya kutimuliwa Niyonzima
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema anaheshimu uamuzi uliotolewa na uongozi wa klabu hiyo juu ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu hiyo, Haruna Niyonzima.
Uongozi wa Yanga ulifika tamati na mchezaji huyo juzi, kwa madai ya kuchoshwa na tabia yake ya kutoheshimu mkataba pamoja na kutaka kuwa juu ya klabu.
Niyonzima aliongezewa mkataba wa miaka miwili Mei 19 mwaka huu, lakini kutokana na hatua hiyo alitakiwa...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Tiboroha akana ‘kumharibia’ Niyonzima kutimuliwa Yanga
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Kocha Pluijm kustaafia Yanga
10 years ago
Mtanzania22 Dec
Kocha Pluijm aahidi makubwa Yanga
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM,
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Hans van Pluijm, ameanza kwa mbwembwe kibarua chake baada ya kuahidi makubwa, huku akidai atahakikisha anarudisha soka la kuvutia na la ushindi ili kuwapa raha wapenzi wa timu hiyo.
Pluijm amerejeshwa kwenye timu hiyo aliyoinoa msimu uliopita baada ya kutimuliwa kwa makocha, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva, ambao wote ni kutoka Brazil.
Mholanzi huyo juzi alianza kibarua cha kuinoa timu hiyo kwenye Uwanja wa Shule...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Kocha Pluijm apangua kikosi Yanga
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZz*MzLSC2IUEo98aSWQFaID2qx4UOFwK6GD*dvBGX-qVqQANB*pPweiK8uzc9bmAdbbRSV8MWmkjbc2cvOfUd1/yanga.jpg?width=750)
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Kocha Pluijm ataka nidhamu kwa nyota wake Yanga