Tiboroha akana ‘kumharibia’ Niyonzima kutimuliwa Yanga
Katibu mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha ameruka kimanga kuwa na bifu na kiungo Haruna Niyonzima na kusababisha ‘kutemwa’ kwake katika kikosi cha timu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Pluijm: Naheshimu maamuzi ya kutimuliwa Niyonzima
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema anaheshimu uamuzi uliotolewa na uongozi wa klabu hiyo juu ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu hiyo, Haruna Niyonzima.
Uongozi wa Yanga ulifika tamati na mchezaji huyo juzi, kwa madai ya kuchoshwa na tabia yake ya kutoheshimu mkataba pamoja na kutaka kuwa juu ya klabu.
Niyonzima aliongezewa mkataba wa miaka miwili Mei 19 mwaka huu, lakini kutokana na hatua hiyo alitakiwa...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
9 years ago
Habarileo29 Dec
Niyonzima kwaheri Yanga
KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Yanga yavunja mkataba na Niyonzima
![NIYONZIMANEW4](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/NIYONZIMANEW4.jpg)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima
Mshambuliaji, Issofou Boubacar.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.
Haruna Niyonzima.
Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...
9 years ago
TheCitizen04 Oct
Niyonzima happy with Yanga form