Niyonzima kwaheri Yanga
KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Dec
Yanga yampa mkono wa kwaheri Maximo
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Marcio-Maximo1.jpg)
Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusufu Manji, amempa mkono wa kwaheri aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonard Neiva na kumkabidhi rasmi madaraka kocha Hans van Pluijm na msaidizi wake, Boniface Mkwasa kukifundisha kikosi hicho.
Licha ya kuwaaga makocha hao, Manji hakuweka wazi sababu zilizowafanya kuwaondoa makocha hao zaidi aliwatakia kila la kheri huko waendako na kuwashukuru kwa ushirikiana...
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Niyonzima: Sitailipa Yanga chochote
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
* Adaiwa sh. milioni 152 kwa kukiuka masharti ya mkataba wake
MCHEZAJI Haruna Niyonzima ambaye mkataba wake umevunjwa na klabu yake ya Yanga kwa kile kilichodaiwa kuchoshwa na tabia zake, amedai kuwa hatalipa kiasi cha Dola 71,175 (sawa na Sh milioni 152) kwani suala hilo halipo kwenye mkataba.
Uongozi wa Yanga jana ulitangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo mahiri wa nafasi ya kiungo, lakini mbali na uamuzi huo klabu hiyo pia ilimtaka mchezaji huyo kuilipa...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima
Mshambuliaji, Issofou Boubacar.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.
Haruna Niyonzima.
Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROqHT2PTi4AU94L*wIQak1fIFtAiaCxebn2Y2Hiq0ogvv*Y6QuhfO4I-fuW5wOSsNGF0rl7SeWdlTjrAKSOK5PZ/ftytty.gif?width=650)
Niyonzima awazimia Yanga simu
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Niyonzima aitishia nyau Yanga
9 years ago
Habarileo25 Dec
Niyonzima sasa kujieleza Yanga
KATIBU Mkuu wa Yanga Dk Jonas Tiboroha, amesema uongozi wa klabu hiyo umemtaka kiungo wake Mnyarwanda Haruna Niyonzima kujieleza kwa maandishi kwanini asichukuliwe hatua kwa utovu wa nidhamu alioonesha.
9 years ago
TheCitizen04 Oct
Niyonzima happy with Yanga form