Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima

issoufou-boubacar2Mshambuliaji, Issofou Boubacar.

Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima.

Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga yasajili kiungo usiku

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Sweetbert Lukonge na Hans Mloli
KLABU ya Yanga, jana usiku ilitarajiwa kumsainisha kiungo wa Taifa Stars, Said Juma.
Inadaiwa kuwa, aliyekuwa kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ndiye aliyetoa mapendekezo ya kusajiliwa kwa kiungo huyo. Jana usiku, Yanga ilitarajiwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili lakini kama ingeshindikana jana, basi anaweza akasajiliwa ndani ya siku mbili...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga yasajili beki wa Togo

YANGA imemsajili beki wa kati Vincent Baossou kutoka Togo kuziba nafasi ya Joseph Zuttah wa Ghana aliyetupiwa virago.

 

11 years ago

Bongo5

Yanga yasajili Mbrazili wa pili, Geilson Santos Santana ‘Jaja’

Mshamabuliaji Geilson Santos Santana “Jaja” raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans. Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu Katibu mkuu wa Young Africans Beno Njovu amesema usajli wa Jaja unakua ni wa pili msimu huu kwa wachezaji […]

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima aichefua Yanga

KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima kwaheri Yanga

KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga stronger than ever, says Niyonzima

Young Africans midfield kingpin Haruna Niyonzima believes his team now has the firepower to mount a sustained assault on the Vodacom Premier League title.

 

9 years ago

Habarileo

Niyonzima sasa kujieleza Yanga

KATIBU Mkuu wa Yanga Dk Jonas Tiboroha, amesema uongozi wa klabu hiyo umemtaka kiungo wake Mnyarwanda Haruna Niyonzima kujieleza kwa maandishi kwanini asichukuliwe hatua kwa utovu wa nidhamu alioonesha.

 

9 years ago

Global Publishers

Yanga yavunja mkataba na Niyonzima

NIYONZIMANEW4Haruna Niyonzima. Klaubu ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na kiungo wake wa kimataifa kutoka nchini Rwanda Haruna Niyonzima kutokana na utovu wa nidhamu ikiwemo kuchelewa kuripoti kambini na kutoipa kipaumbele klabu yake. Nahodha huyo wa Rwanda alichelewa kurejea kwenye klabu yake mara baada ya kumalizika kwa fainali za michuano ya Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati (CEFAFA Challenge Cup) iliyofanyika nchini Ethiopia. Afisa Habari wa Yanga, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari...

 

10 years ago

GPL

Niyonzima awazimia Yanga simu

Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima. Omary Mdose na Mohammed Mdose
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amegeuka mbogo na kutangaza hadharani kuwa atamchukulia adhabu kali kiungo wake, Haruna Niyonzima, ambaye mpaka sasa hajatua nchini kujiunga na kikosi cha timu hiyo, huku simu yake ikiwa haipatikani. Yapata mwezi sasa tangu kikosi cha Yanga kianze mazoezi yake ya kujiandaa na michuano ya Ligi Kuu Bara na ile ya kimataifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani