Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima
Mshambuliaji, Issofou Boubacar.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.
Haruna Niyonzima.
Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIn7jqG4WEY9*ym7V-JbXVosJf1oHaV0q65ragfzZCO5TTpdCMbgCjnvhwV84hV2qSlsj3Iplo3eZ95rPo8KxR8k/yanga.jpg?width=650)
Yanga yasajili kiungo usiku
10 years ago
Habarileo07 Aug
Yanga yasajili beki wa Togo
YANGA imemsajili beki wa kati Vincent Baossou kutoka Togo kuziba nafasi ya Joseph Zuttah wa Ghana aliyetupiwa virago.
11 years ago
Bongo521 Jul
Yanga yasajili Mbrazili wa pili, Geilson Santos Santana ‘Jaja’
9 years ago
Habarileo15 Dec
Niyonzima aichefua Yanga
KOCHA wa Yanga, Hans Pluijm amesema amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wake Haruna Niyonzima kuchelewa kuungana na wenzake kwa ajili ya michezo ya ligi huku akishindwa kabisa kutoa sababu zilizomfanya kuchelewa huko.
9 years ago
Habarileo29 Dec
Niyonzima kwaheri Yanga
KLABU ya Yanga imetangaza kuvunja mkataba na mchezaji wake Haruna Niyonzima baada ya kudaiwa kuvunja sheria na taratibu za muajiri wake. Kwa mujibu wa taarifa ya Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Jerry Muro kwa vyombo vya habari jana, Niyonzima pia atatakiwa kuilipa klabu hiyo dola za Marekani 71,175 kufidia gharama ambazo imezitumia katika kumuongezea mkataba wake mpaka mwaka 2017.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
Yanga stronger than ever, says Niyonzima
9 years ago
Habarileo25 Dec
Niyonzima sasa kujieleza Yanga
KATIBU Mkuu wa Yanga Dk Jonas Tiboroha, amesema uongozi wa klabu hiyo umemtaka kiungo wake Mnyarwanda Haruna Niyonzima kujieleza kwa maandishi kwanini asichukuliwe hatua kwa utovu wa nidhamu alioonesha.
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Yanga yavunja mkataba na Niyonzima
![NIYONZIMANEW4](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/NIYONZIMANEW4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROqHT2PTi4AU94L*wIQak1fIFtAiaCxebn2Y2Hiq0ogvv*Y6QuhfO4I-fuW5wOSsNGF0rl7SeWdlTjrAKSOK5PZ/ftytty.gif?width=650)
Niyonzima awazimia Yanga simu