Yanga yasajili Mbrazili wa pili, Geilson Santos Santana ‘Jaja’
Mshamabuliaji Geilson Santos Santana “Jaja” raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans. Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans Bw Beno Njovu Katibu mkuu wa Young Africans Beno Njovu amesema usajli wa Jaja unakua ni wa pili msimu huu kwa wachezaji […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Mbrazili mpya atua Yanga SC
11 years ago
GPL
MBRAZILI WA YANGA ATUA NA MKOSI DAR
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mbrazili wa Yanga apewa onyo kali
10 years ago
Habarileo07 Aug
Yanga yasajili beki wa Togo
YANGA imemsajili beki wa kati Vincent Baossou kutoka Togo kuziba nafasi ya Joseph Zuttah wa Ghana aliyetupiwa virago.
11 years ago
GPL
Yanga yasajili kiungo usiku
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima
Mshambuliaji, Issofou Boubacar.
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga imesajili wachezaji wawili tu, straika Paul Nonga na kiungo mshambuliaji, Issofou Boubacar ili kujiimarisha.
Haruna Niyonzima.
Lakini jana Ijumaa asubuhi katika mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Boko Veterani, Yanga ilianza kumfanyia majaribio kiungo Sina Jerome aliyetokea Rayon Sports ya Rwanda.
Yanga inafanya hivyo ili kujiridhisha kuhusu uwezo wa...
11 years ago
Mwananchi22 Aug
Jaja aipaisha Yanga
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Nyota Yanga wamlilia Jaja
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Jaja amwaga wino Yanga
HATIMAYE Klabu ya Yanga, jana ilimsainisha mkataba wa miaka miwili Mbrazil Geilson Santos Santana ‘Jaja’, wa kukipiga katika kikosi cha timu hiyo kuanzia msimu ujao. Jaja, anakuwa nyota wa pili...