Nyota Yanga wamlilia Jaja
Wachezaji wa Yanga wamepokea kwa mshtuko taarifa ya kuondoka kwa mshambuliaji Genilson Santos ‘Jaja’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jaja ‘out’ Yanga, Maximo aleta nyota mwingine
Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’ ameondolewa katika kikosi cha timu hiyo na nafasi yake itazibwa na kiungo mkabaji pia raia wa Brazil, Emerson Oliveira Neves Roque.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Jaja aipaisha Yanga
Mshambuliaji wa Genilson Santos ‘Jaja’ ameanza kwa kishindo kibarua chake Yanga kwa kufunga bao pekee wakiichapa Chipukizi 1-0 kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Jaja amwaga wino Yanga
HATIMAYE Klabu ya Yanga, jana ilimsainisha mkataba wa miaka miwili Mbrazil Geilson Santos Santana ‘Jaja’, wa kukipiga katika kikosi cha timu hiyo kuanzia msimu ujao. Jaja, anakuwa nyota wa pili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDrvWcOZ-Ev83-TX6tF6a81kn1bjq76tuFYWe364t6KeL*uSUegATFQCqpioDesPpRA4PcDwcrXY8-xeMZbLgs6D/JAJA.jpg)
JAJA ASAINI MIAKA 2 YANGA
Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans, Bw. Beno Njovu leo mara baada ya kusaini kuitumikia kwa miaka miwili. Hatimaye mshamabuliaji Geilson Santos Santana "Jaja"Â raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Yanga yamkomalia Jaja kortini
Wakati kesi ya aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’ ikipangwa kusikilizwa Machi 10, klabu hiyo imesema itaiomba mahakama kuisikiliza upande mmoja endapo mchezaji huyo atashindwa kwa mara nyingine kutokea mahakamani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6jnZoT50D9jrtMeF3ElrbmkcGvTYZFwsC6j*m4s4PDdRN3Dy*eaRmIs2HqGYBoQDuLy2em6VIFDY1q8XvNTF1S/jaja.jpg)
Jaja akataa jezi Yanga
Mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Na Wilbert Molandi
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mbrazili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’, ameikataa jezi namba 15 na kuomba 9, atakayoitumia kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Awali, jezi hiyo namba 9 ilikuwa ikivaliwa na mshambuliaji raia wa Cameroon, Robert Jama Mba na Reliants Lusajo waliotimuliwa kabla ya Mrisho Ngassa,...
10 years ago
TheCitizen21 Sep
Jaja will add no value, Yanga should recruit more
The attention is on Geilson Santos Santana, a.k.a. Jaja as this season’s Vodacom Premier League gets underway.
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Okwi, Jaja bado waivuruga Yanga
Sinema ya mshambuliaji Emmanuel Okwi imefikia patamu baada ya mabosi wa Yanga kuchanganya akili wamwache yeye au mshambuliaji wao mpya Mbrazili Geilson Santos Santana ‘Jaja’ huku kocha mkuu Mbrazili Marcio Maximo akiwa hataki kabisa kusikia habari za Okwi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0SutGFQdzzOPkyHClvCpHUGzGNAK3IioHHfPuheRKcnh5wU14PYnH-m5CglzR6pgKYvBD2Gt6fFGpe81dcAGy3q/jaja.jpg)
Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga
Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania