Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota Yanga wamlilia Jaja

Wachezaji wa Yanga wamepokea kwa mshtuko taarifa ya kuondoka kwa mshambuliaji Genilson Santos ‘Jaja’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Jaja ‘out’ Yanga, Maximo aleta nyota mwingine

Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’ ameondolewa katika kikosi cha timu hiyo na nafasi yake itazibwa na kiungo mkabaji pia raia wa Brazil, Emerson Oliveira Neves Roque.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaja aipaisha Yanga

Mshambuliaji wa Genilson Santos ‘Jaja’ ameanza kwa kishindo kibarua chake Yanga kwa kufunga bao pekee wakiichapa Chipukizi 1-0  kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaja amwaga wino Yanga

HATIMAYE Klabu ya Yanga, jana ilimsainisha mkataba wa miaka miwili Mbrazil Geilson Santos Santana ‘Jaja’, wa kukipiga katika kikosi cha timu hiyo kuanzia msimu ujao. Jaja, anakuwa nyota wa pili...

 

11 years ago

GPL

JAJA ASAINI MIAKA 2 YANGA

Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans, Bw. Beno Njovu leo mara baada ya kusaini kuitumikia kwa miaka miwili. Hatimaye mshamabuliaji Geilson Santos Santana "Jaja"  raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamkomalia Jaja kortini

Wakati kesi ya aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’ ikipangwa kusikilizwa Machi 10, klabu hiyo imesema itaiomba mahakama kuisikiliza upande mmoja endapo mchezaji huyo atashindwa kwa mara nyingine kutokea mahakamani.

 

11 years ago

GPL

Jaja akataa jezi Yanga

Mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Na Wilbert Molandi
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mbrazili, Genilson Santos Santana ‘Jaja’, ameikataa jezi namba 15 na kuomba 9, atakayoitumia kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Awali, jezi hiyo namba 9 ilikuwa ikivaliwa na mshambuliaji raia wa Cameroon, Robert Jama Mba na Reliants Lusajo waliotimuliwa kabla ya Mrisho Ngassa,...

 

10 years ago

TheCitizen

Jaja will add no value, Yanga should recruit more

The attention is on Geilson Santos Santana, a.k.a. Jaja as this season’s Vodacom Premier League gets underway.

 

10 years ago

Mwananchi

Okwi, Jaja bado waivuruga Yanga

Sinema ya mshambuliaji Emmanuel Okwi imefikia patamu baada ya mabosi wa Yanga kuchanganya akili wamwache yeye au mshambuliaji wao mpya Mbrazili Geilson Santos Santana ‘Jaja’ huku kocha mkuu Mbrazili Marcio Maximo akiwa hataki kabisa kusikia habari za Okwi.

 

10 years ago

GPL

Jaja aongezewa dozi ya mazoezi Yanga

Straika Mbrazil wa Yanga, Genilson Santos ‘Jaja’. Na Goodluck Ngai
KATIKA jitihada za kumfanya awe tishio zaidi msimu ujao, benchi la ufundi la Yanga limeamua kumuongezea programu ya mazoezi straika Mbrazil, Genilson Santos ‘Jaja’. Kuonyesha kwamba Yanga haitaki mchezo, Jaja amekuwa akiendelea kufanyishwa mazoezi hata pale wenzake wanapopumzika.Yanga, juzi Jumamosi asubuhi kwenye Uwanja wa Shule ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani