Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm: Naheshimu maamuzi ya kutimuliwa Niyonzima

PLUJMADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema anaheshimu uamuzi uliotolewa na uongozi wa klabu hiyo juu ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu hiyo, Haruna Niyonzima.

Uongozi wa Yanga ulifika tamati na mchezaji huyo juzi, kwa madai ya kuchoshwa na tabia yake ya kutoheshimu mkataba pamoja na kutaka kuwa juu ya klabu.

Niyonzima aliongezewa mkataba wa miaka miwili Mei 19 mwaka huu, lakini kutokana na hatua hiyo alitakiwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga

SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Tiboroha akana ‘kumharibia’ Niyonzima kutimuliwa Yanga

Katibu mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha ameruka kimanga kuwa na bifu na kiungo Haruna Niyonzima na kusababisha ‘kutemwa’ kwake katika kikosi cha timu hiyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima …

Baada ya stori za muda mrefu kuhusu kiungo wa kimataifa wa Rwanda anayekipiga katika klabu ya Yanga Haruna Niyonzima, uongozi wa klabu hiyo December 28 umetangaza maamuzi mapya baada ya awali kutangaza kumsimamisha kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Yanga wamefikia maamuzi ya kuvunja mkataba na kiungo huyo, baada ya kukaa na kufikiria kwa […]

The post Baada ya kumsimamisha kwa muda usiojulikana, Dec 28 Yanga yatangaza maamuzi magumu kwa Niyonzima … appeared first on...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Naheshimu uamuzi wa CCM

MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja, amesema anaheshimu adhabu aliyopewa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), hivyo hayupo tayari kuzungumzia masuala ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani. CCM iliwaadhibu makada...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Habarileo

Waliohujumu CCM kutimuliwa

WANACHAMA na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliohusika kwa namna moja ama nyingine kukihujumu chama hicho wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na kukikosesha ushindi katika kata na majimbo kadhaa, wametakiwa kutafuta pa kwenda kabla ya kufukuzwa uanachama.

 

11 years ago

Habarileo

Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Kaze afagilia Loga kutimuliwa

Beki wa zamani wa Simba, Gilbert Kaze amesema Simba imefanya uamuzi wa maana wa kumtimua kocha Zdravko Logarusic, licha ya kuchelewa sana kuchukua uamuzi huo.

 

10 years ago

GPL

WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU

Jaji Frederick Werema akizungumza jambo. Kwako Jaji Frederick Werema.
Najua katika siku za hivi karibuni umekuwa katika wakati mgumu sana kutokana na kushiriki kwako kwa namna moja au nyingine katika sakata la mabilioni ya Escrow. Najua jinsi ulivyochanganyikiwa lakini sina namna nyingine zaidi ya kukufikishia ujumbe huu, hata kama utakuchukiza. Mimi  sikuzaliwa Oktoba 10, 1955 kama wewe. Sikusoma Shule ya Msingi Wegero...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani