Waliohujumu CCM kutimuliwa
WANACHAMA na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliohusika kwa namna moja ama nyingine kukihujumu chama hicho wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu na kukikosesha ushindi katika kata na majimbo kadhaa, wametakiwa kutafuta pa kwenda kabla ya kufukuzwa uanachama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Dec
Waliohujumu Chadema watimuliwa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewatimua wanachama wake 42 wakiwemo wagombea walioshindwa kupita kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wa hivi karibuni.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Watendaji waliohujumu fedha kukiona
11 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...
11 years ago
Habarileo15 May
Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa
SERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.
10 years ago
GPL
WEREMA, NISINGESUBIRI KUTIMULIWA, NINGEJIUZULU
11 years ago
Mwananchi18 Aug
Kaze afagilia Loga kutimuliwa
10 years ago
Habarileo13 Dec
RC aagiza wadhibiti uegeshaji kutimuliwa
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, ameiagiza Halmashauri ya Jiji kuondoa kampuni ya uwakala wa kusimamia udhibiti wa uegeshaji holela wa magari katika eneo la jiji kutokana na makampuni hayo kuwa kero kwa watumiaji wa barabara.
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
DC ang’aka mwenyekiti wa kijiji kutimuliwa
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, amewakemea viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kijiji cha Igurubi kwa kumfukuza kazi mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho, Selemani Mdeka, kwa...
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Pluijm: Naheshimu maamuzi ya kutimuliwa Niyonzima
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga, Hans van der Pluijm, amesema anaheshimu uamuzi uliotolewa na uongozi wa klabu hiyo juu ya kuvunja mkataba wa aliyekuwa kiungo mkabaji wa timu hiyo, Haruna Niyonzima.
Uongozi wa Yanga ulifika tamati na mchezaji huyo juzi, kwa madai ya kuchoshwa na tabia yake ya kutoheshimu mkataba pamoja na kutaka kuwa juu ya klabu.
Niyonzima aliongezewa mkataba wa miaka miwili Mei 19 mwaka huu, lakini kutokana na hatua hiyo alitakiwa...