Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC aagiza wadhibiti uegeshaji kutimuliwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky SadikiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, ameiagiza Halmashauri ya Jiji kuondoa kampuni ya uwakala wa kusimamia udhibiti wa uegeshaji holela wa magari katika eneo la jiji kutokana na makampuni hayo kuwa kero kwa watumiaji wa barabara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kampuni zisipewe uegeshaji wa magari

Sababu kubwa za kampuni kuundwa ni kutengeneza faida itakayotokana na shughuli wanazofanya.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wadhibiti maandamano

 Jeshi la Polisi mkoani Arusha, limezima maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana baada ya askari wake wa miguu na magari ya maji ya kuwasha kutanda mitaani, huku chama hicho kikidai kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Somalia na AU wadhibiti Barawe

Wanajeshi wa Somalia na vikosi vya Muungano wa Afrika wamechukua udhibiti wa mji wa Barawe iliyokuwa ngome ya al-Shabab.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wadhibiti ulinzi wa Bentiu

Waasi nchini Sudan Kusini wameanza harakati za kuulinda vikali mji wa Bentiu ambao waliutwaa kutoka kwa serikali wakihofia majeshi ya Serikali kuupigania.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maafisa wadhibiti ulinzi Kenya

Maafisa wa usalama nchini Kenya wamedhibiti ulinzi baada ya kunasa silaha nzito kutoka kwa watu wanaoshukiwa kuwa magaidi mjini Mombasa Pwani ya Kenya

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Polisi wadhibiti vurugu viwanjani

Siku zote Watanzania tunafahamu kuwa soka ni mchezo unaopendwa na mashabiki wengi siyo katika ardhi yetu pekee bali kote ulimwenguni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wadhibiti ulinzi mjini Mombasa

Polisi waliojihami wanaendelea kushika doria katika barabara za mji wa Mombasa Pwani ya Kenya kuhakikisha utulivu baada ya vurugu na msako wa polisi misikitini

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wadhibiti majambazi ndani ya baa iliyojaa

MAKAMU Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilayani Simanjiro, Jackos Sipitek pamoja na madiwani wawili wa viti maalumu wamenusurika katika shambulio la majambazi kutaka kuwadhuru polisi kwenye baa ya Pama iliyopo makao mapya jijini Arusha.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim awataka Dk Shein, Balozi Idd wadhibiti vurugu

Mgombea urais wa CUF, Zanzibar chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif amesema amewataka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ally Idd kuhakikisha wanadhibiti vurugu zinazoweza kutokea katika uchaguzi mkuu ujao la sivyo watapelekwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani