Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim awataka Dk Shein, Balozi Idd wadhibiti vurugu

Mgombea urais wa CUF, Zanzibar chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif amesema amewataka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ally Idd kuhakikisha wanadhibiti vurugu zinazoweza kutokea katika uchaguzi mkuu ujao la sivyo watapelekwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif, Balozi Idd wachimbana

MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na Makamu wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad, wameingia katika vita ya maneno kuhusu rasimu ya katiba, masuala ya Muungano...

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim seif awataka JK na Shein Kusimamia amani

Mgombea wa Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amemuomba Rais Jakaya Kikwete na Rais Ali Mohamed Shein kubeba dhamana ya uongozi katika siku hizi chache zilizobaki za uongozi wao kwa kusimamia katiba na sheria za nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF IDD AWATAKA WANANCHI KUWAUNGA MKONO VIONGOZI WENYE KULETA MAENDELEO

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa Vipaza sauti Amiri  wa Jumuiya ya Sherehe za Siku Kuu ya Iddi Matemwe Ustaadhi Kundi Choum Haji kutekeleza ahadi aliyoip[a Jumuiya hiyo wakati wa sherehe za siku kuu ya Iddi el Hajj iliyopita. (Picha na OPMR)Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman  Iddi akimkabidhi  mchango wa Shilingi 400,000/-  kwa kila kikundi miongoni mwa  vikundi 14 vya Ushirika wa Akina Mama vilivyomo ndani ya  Wilaya ya...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Polisi wadhibiti vurugu viwanjani

Siku zote Watanzania tunafahamu kuwa soka ni mchezo unaopendwa na mashabiki wengi siyo katika ardhi yetu pekee bali kote ulimwenguni.

 

9 years ago

Vijimambo

Dk.Shein Azungumza na Balozi Mpya wa India na Balozi Mteule wa Tanzania Nchini Saudia Arabia.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mpya wa India katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw.Sandeep Arya alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leoRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi Mpya wa India katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw.Sandeep Arya aliyefika kujitambulisha leo Ikulu Mjini ZanzibarRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali...

 

9 years ago

Vijimambo

Dk Shein Azungumza na Balozi wa Tanzania Uholanzi na Balozi Mpya ya Jamuhuri ya Algeria Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uholanzi Irene Florence Mkwama alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leoRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uholanzi Irene Florence Mkwama alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais leo,[Picha na Ikulu.]Rais wa Zanzibar na...

 

10 years ago

Habarileo

Maalim Seif awataka wabunge kutatua kero

Maalim Seif Sharif HamadWABUNGE na Wawakilishi wametakiwa kuzipatia ufumbuzi kero na matatizo yanayowakabili wananchi katika majimbo ya uchaguzi kwa lengo la kuleta maendeleo.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif awataka Wazanzibari wasikubali kuvurugwa, watulie

“Kazi tayari tupe kinuramgongo”, yaani “kazi imekwisha tupe malipo”, ni wimbo uliotawala mkutano kati ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad na wajumbe wa kamati za utendaji za wilaya na majimbo, mkutano mkuu na wafuasi wa chama hicho Kisiwani Pemba jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani