Maalim Seif awataka Wazanzibari wasikubali kuvurugwa, watulie
“Kazi tayari tupe kinuramgongoâ€, yaani “kazi imekwisha tupe malipoâ€, ni wimbo uliotawala mkutano kati ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad na wajumbe wa kamati za utendaji za wilaya na majimbo, mkutano mkuu na wafuasi wa chama hicho Kisiwani Pemba jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Maalim Seif: Tumaini la Wazanzibari
Maalim Seif Changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi wa Zanzibar na jinsi Chama Cha Wananchi CUF chini ya uongozi wa Maalim Seif Sharif Hamad walivyojipanga kuzitatua changamoto hizo endapo watapata ridhaa ya kuwaongoza wananchi wa Zanzibar.
The post Maalim Seif: Tumaini la Wazanzibari appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Maalim Seif: Wazanzibari nichagueni mnufaike na Muungano
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Maalim Seif: Wazanzibari wanataka mamlaka kamili
11 years ago
Habarileo30 Mar
Wadai Maalim Seif hana idhini kuwasemea Wazanzibari
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imedai kwamba Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad hana idhini ya kuwasemea Wazanzibari kuwa wanataka Muungano wa aina gani.
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Wasanii wawataka Wazanzibari watulie
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WASANII mbalimbali waliopo visiwani Zanzibar wameonyesha kuguswa na hali ya Zanzibar, huku wakiwataka mashabiki wao wanaoishi visiwani humo wawe watulivu kipindi hiki cha mgogoro wa kisiasa visiwani humo.
Wasanii hao waliliambia MTANZANIA kwa nyakati tofauti kwamba wameguswa na mgogoro huo, hivyo mashabiki wao hawatakiwi kuwa na papara kwa kuwa mgogoro huo unafanyiwa kazi na utapatiwa ufumbuzi.
Msanii Ally Ramadhan ‘AT’ alisema nchi nyingi huwa zinaingia kwenye...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Maalim Seif awataka wabunge kutatua kero
WABUNGE na Wawakilishi wametakiwa kuzipatia ufumbuzi kero na matatizo yanayowakabili wananchi katika majimbo ya uchaguzi kwa lengo la kuleta maendeleo.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Maalim seif awataka JK na Shein Kusimamia amani
11 years ago
Michuzi09 Feb
Maalim Seif awataka WanaCUF kutovunjika moyo na matokeo ya uchaguzi mdogo jimbo la Kiembesamak
![](https://3.bp.blogspot.com/-zzd17MjdJwY/UvZAjFNPhAI/AAAAAAABAcY/eLjVapr8ng4/s1600/blw+1.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-N4u4juygyEs/UvZAjOwz_QI/AAAAAAABAcc/Ykmlgw8SUac/s1600/blw+3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4c1qtAbUVk/VZAI0wNZeyI/AAAAAAAHlH8/EexJYNDoBzw/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
WAZIRI MEMBE APATA WADHAMINI KIGOMA AWATAKA Watanzania wasikubali kutishwa