Maalim Seif: Wazanzibari wanataka mamlaka kamili
>Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibar wanaisubiri kwa hamu Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuona kama imezingatia masilahi na matakwa yao katika kupata mamlaka kamili ya Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Cuf wazindua kampeni, Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Sep
Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar
BY- EMMANUEL MTENGWA, MWANANCHI DIGITAL Wafuasi na wapenzi wa CUF waliojitokeza kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho Kibandamaiti Zainzibar. Picha na Said Khamis Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), […]
The post Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili?
Mohamed Said Bonyeza Audio
The post Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Maalim Seif: Tumaini la Wazanzibari
Maalim Seif Changamoto mbali mbali zinazowakabili wananchi wa Zanzibar na jinsi Chama Cha Wananchi CUF chini ya uongozi wa Maalim Seif Sharif Hamad walivyojipanga kuzitatua changamoto hizo endapo watapata ridhaa ya kuwaongoza wananchi wa Zanzibar.
The post Maalim Seif: Tumaini la Wazanzibari appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Maalim Seif: Wazanzibari nichagueni mnufaike na Muungano
11 years ago
Habarileo30 Mar
Wadai Maalim Seif hana idhini kuwasemea Wazanzibari
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imedai kwamba Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad hana idhini ya kuwasemea Wazanzibari kuwa wanataka Muungano wa aina gani.
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Maalim Seif awataka Wazanzibari wasikubali kuvurugwa, watulie
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na uongozi wa mamlaka ya uwekezaji nchini Qatar
10 years ago
Habarileo03 Oct
'Kuna Wazanzibari wanataka kuvunja Muungano'
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametoa ufafanuzi wa aina mbili ya Wazanzibari.