Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili?

Mohamed Said Bonyeza Audio

The post Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili? appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: Wazanzibari wanataka mamlaka kamili

>Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Wazanzibar wanaisubiri kwa hamu Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuona kama imezingatia masilahi na matakwa yao katika kupata mamlaka kamili ya Zanzibar.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Kwa nini Rose Kamili si kamili

MALUMBANO ya kisiasa nchini yanazidi kupamba moto baada ya mke wake wa zamani wa Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema Dk Willibrod Slaa, Rose Kamili kuibuka na kusema amesikitishwa na kauli alizozitoa mume wake huyo alipozungumza na waandishi wa habari Septemba Mosi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kamili alisema wakati Dk. Slaa anatangaza kung’atuka kwenye siasa alisema amekuwa akila mihogo na familia yake, jambo ambalo si la kweli.

Alisisitiza kuwa japokuwa mihogo siyo chakula...

 

10 years ago

GPL

WAMEGOMBANA, WANATAKA KUACHANA? WE’ INAKUHUSU NINI?

Ni Ijumaa nyingine nzuri tunapokutana tena nawe msomaji wangu, nategemea uko poa kwa kudra za Mungu na unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku. Karibu kwenye uwanja wetu huu na leo nataka kuzungumza nawe mada ya tofauti kidogo. Jambo lenyewe ninalotaka kuzungumza nawe msomaji wangu, ni tabia waliyonayo baadhi ya watu ya kushadadia matatizo ya kimapenzi yanayotokea kwenye maisha ya watu wao wa karibu, wawe ndugu, marafiki,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Tayari Wahanga wa Mamlaka Kamili hao

The post Tayari Wahanga wa Mamlaka Kamili hao appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Habarileo

Shein: Zanzibar ina mamlaka kamili

RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar inayo madaraka kamili ya kuendesha nchi na kufanya kazi zake kwa mujibu wa Katiba na kushangazwa na watu wanaodai mamlaka yake yameporwa.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Umoja wa wanaotaka mamlaka kamili washinda Hispania

Muungano wa vyama vinavyounga mkono uhuru wa Mkoa la Catalonia nchini Hispania umeshinda kwa idadi kubwa ya viti katika uchaguzi uliomalizika leo. Wakati karibu kura zote zikiwa zimeshahesabiwa, chama cha Junts Pel Si kinachotaka kujitenga kwa […]

The post Umoja wa wanaotaka mamlaka kamili washinda Hispania appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

KWA NINI UNAUMIA JUU YA MTU ANAYE FURAHI?

MTU mmoja mwenye akili aliwahi kusema mapenzi ndiyo kila kitu katika dunia, kwamba mtu anayepata faraja zote kimapenzi ndiye anayeishi vizuri zaidi kuliko hata mamilionea tunaowaona. Na baadhi ya watu wanafikiri kuishi vizuri kimapenzi maana yake ni kuwa na uhusiano mzuri na mwenza au mke/mume wako nyumbani au yeyote katika uhusiano. Kuishi vizuri kimapenzi, ni pamoja na kuamua kuacha kupenda pia! Nimewahi kukutana mara nyingi...

 

9 years ago

Mwananchi

Cuf wazindua kampeni, Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema  kama atapewa ridhaa ya kuwa rais atahakikisha Zanzibar inapata mamlaka kamili.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar

BY- EMMANUEL MTENGWA, MWANANCHI DIGITAL Wafuasi na wapenzi wa CUF waliojitokeza kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho Kibandamaiti Zainzibar. Picha na Said Khamis Zanzibar. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), […]

The post Cuf wazindua kampeni, leo 09/09/2015 Maalim Seif aahidi mamlaka kamili ya Z’bar appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani