Kwa nini Rose Kamili si kamili
MALUMBANO ya kisiasa nchini yanazidi kupamba moto baada ya mke wake wa zamani wa Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema Dk Willibrod Slaa, Rose Kamili kuibuka na kusema amesikitishwa na kauli alizozitoa mume wake huyo alipozungumza na waandishi wa habari Septemba Mosi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kamili alisema wakati Dk. Slaa anatangaza kung’atuka kwenye siasa alisema amekuwa akila mihogo na familia yake, jambo ambalo si la kweli.
Alisisitiza kuwa japokuwa mihogo siyo chakula...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili?
Mohamed Said Bonyeza Audio
The post Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili? appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Majalada kesi ya Rose Kamili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*6TADaQ114ecX8nzYBI6-mPz14Ko84nTU57ncOSz4k-pvQKdCG41hYgzlee8dcfdAAL2HfWDFgNOVnRb1i*z6q/mbowe.jpg?width=650)
MBOWE AMJULIA HALI MBUNGE ROSE KAMILI
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Rose Kamili, Askofu Kilaini wamshukia Dk Slaa
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Yanga, Azam kamili kwa Mapinduzi
YANGA na Azam FC zinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mpaka Januari 13 kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar.
10 years ago
Vijimambo08 Feb
STORI KAMILI YA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO DAR
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2616946/highRes/940476/-/maxw/600/-/1en0hm/-/Motto.jpg)
9 years ago
Vijimambo28 Aug
HABARI KAMILI YA WATU 9 WALIOTEKETEA KWA MOTO BUGURUNI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11947472_1081693931848512_1592356212416966947_n.png)
Nyumba hiyo iliyoteketea iko Mtaa wa Gulam katika eneo la Buguruni Malapa na baba wa familia hiyo, Masoud Matal hali yake ni mbaya. Marehemu hao walizikwa jana katika makaburi ya Kisutu.
Wakizungumza na mwandishi, majirani walisema marehemu hao walikutwa wamekumbatiana baada ya kupiga kelele kwa muda mrefu wakiomba...
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Uwanja wa Jamhuri kamili kwa Ligi Kuu msimu huu