Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HABARI KAMILI YA WATU 9 WALIOTEKETEA KWA MOTO BUGURUNI

WATU tisa wa familia moja wamekufa kwenye ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao jijini Dar es Salaam, huku baba wa familia akinusurika kwa kuwa alikuwa amekwenda msikitini kuswali.

Nyumba hiyo iliyoteketea iko Mtaa wa Gulam katika eneo la Buguruni Malapa na baba wa familia hiyo, Masoud Matal hali yake ni mbaya. Marehemu hao walizikwa jana katika makaburi ya Kisutu.

Wakizungumza na mwandishi, majirani walisema marehemu hao walikutwa wamekumbatiana baada ya kupiga kelele kwa muda mrefu wakiomba...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK atoa pole kwa ndugu walioteketea kwa moto

RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki kuomboleza vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto usiku wa kuamkia Jumamosi, Januari 7, 2015, katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

WANAFAMILIA SITA WALIOTEKETEA KWA MOTO WAZIKWA JIJINI DAR


Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akiweka shada la maua katika mojawapo ya makaburi ya wanafamilia.Mojawapo ya jeneza likishushwa kaburini.Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu wakati wa mazishi.Mmoja wa wanandugu akipewa huduma ya kwanza baada ya kuanguka wakati wa mazishi hayo.MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni...

 

9 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AITEMBELEA NA KUIFARIJI FAMILIA ILIYOPOTEZA WATU TISA KATIKA AJALI YA MOTO BUGURUNI JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimsalimia na kumpa pole Bw. Massoud Matta aliyepoteza familia yake ya watu tisa akiwemo mkewe na watoto wake wanne kutokana na ajali ya moto iliyotokea Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimsalimia na mmoja wa wanafamilia ya Bw. Massoud Matta aliyepoteza familia yake ya watu tisa akiwemo mkewe na watoto wake wanne kutokana na ajali ya moto iliyotokea...

 

9 years ago

GPL

TISA WAFARIKI KWA MOTO BUGURUNI

Wananchi wakiwa eneo la tukio Buguruni Malapa  Jijini Dar.…

 

10 years ago

Vijimambo

Habari Kamili kuhusiana na Mvua ya mawe ilivyoua watu 42 Kahama, 91 wajeruhiwa

Mkazi wa Kijiji cha Mwakata akizungumza na simu alipokuwa akitoa taarifa kwa jamaa zake baada ya nyumba yake kubomoka kutokana na mvua ya mawe iliyonyesha kijijini hapo wilayani Kahama.
Kahama. Mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha juzi usiku imesababisha maafa katika kijiji cha Mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambako zaidi ya watu 42 wameuawa, wakiwamo saba wa familia moja na wengine 91 kujeruhiwa vibaya.Mvua hiyo ya aina yake ilisababisha nyumba 160 kuanguka na...

 

10 years ago

Vijimambo

STORI KAMILI YA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO DAR

Dar es Salaam. “Yesu tuokoe, Yesu tuokoe”. Ndiyo sauti ya mwisho iliyosikia toka kwenye nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyoteketea kwa moto na kusababisha watu sita wa familia moja kupoteza maisha, huku miili ya baba na mama wa familia hiyo ikikutwa pamoja imekumbatiana, ikiwa ni ishara ya kufa pamoja.Kila aliyekuwepo kwenye eneo la tukio alikuwa ni mwenye simanzi, hasa waumini wenzake wa Kikristo kwakuwa jana (Jumamosi) ilikuwa ni zamu ya familia hiyo kuwa wenyeji wa sala ya pamoja ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!

Mkurugenzi wa Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya, Kamishna Mwandamizi wa Polisi (SACP), Godfrey Nzowa.Magareza mbalimbali ya China, Hong Kong na Macau yamefurika Watanzania wanaojihusisha na dawa za kulevya.Wanakuja kwa makundi. Wake kwa waume, vijana kwa wazee, wenye elimu na historia tofauti za kimaisha... lakini kilichowaleta China, Hong Kong na Macau ni kimoja tu; biashara ya dawa za kulevya. Hawa ni zaidi ya Watanzania 130 ambao wamefungwa katika magereza mbalimbali kwenye nchi za...

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yazua balaa Buguruni, watu 1,163 hawana mahali pa kuishi

Zaidi ya wakazi 1,163 wa eneo la Buguruni kwa Mnyamani hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao 517 kukumbwa na mafuriko.

 

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI ENEO LA MAKAZI WATU MNYAMANI BUGURUNI JIJINI DAR

 Mazingira ya Pembezoni mwa Reli ya Mitaa ya Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam ikiwa Dampo lipo hapo pamoja na mkusanyiko wa maji kwa sababu hayana kwa kuelekea. Wakazi wa maeneo haya wako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na maji yaliyotuama maeneo haya. Inawezekana kuwa na kiwanda cha uzalishaji wa Mbu na magonjwa ya mlipuko nkatika eneo la Mnyamani Buguruni bila shaka..... Maisha yanaenda ikiwa ni hatari endapo usafiri wa eneo hili wanapopita wananchi. Hii ni kwa usalama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani