JK atoa pole kwa ndugu walioteketea kwa moto
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki kuomboleza vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto usiku wa kuamkia Jumamosi, Januari 7, 2015, katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yUbqO8n5VQ0/XqAY8ncwsoI/AAAAAAAAHFo/CMvH89StCgwADMXJg5XK469u2-1kbLjdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NAIBU WAZIRI ABDALLAH ULEGA ATOA POLE KWA FAMILIA 21 AMBAZO NDUGU ZAO WAMEFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BASI MKURANGA
9 years ago
Vijimambo28 Aug
HABARI KAMILI YA WATU 9 WALIOTEKETEA KWA MOTO BUGURUNI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11947472_1081693931848512_1592356212416966947_n.png)
Nyumba hiyo iliyoteketea iko Mtaa wa Gulam katika eneo la Buguruni Malapa na baba wa familia hiyo, Masoud Matal hali yake ni mbaya. Marehemu hao walizikwa jana katika makaburi ya Kisutu.
Wakizungumza na mwandishi, majirani walisema marehemu hao walikutwa wamekumbatiana baada ya kupiga kelele kwa muda mrefu wakiomba...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/st4AJLMa0ak/default.jpg)
WANAFAMILIA SITA WALIOTEKETEA KWA MOTO WAZIKWA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMPWA ATOA POLE KWA ELVIS KWA MSIBA WA BABA YAKE
Liganga akiwa na mama mwenye nyumba wake wakiwa nyumbani kwa Elvis Mnyamuru.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s72-c/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA KWA FAMILIA YA MAREHEMU CHAMPANDA, KAKA YAKE KATIBU MKUU WA TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s640/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/32eddfd1-495c-445e-a9b3-2b29c0ee0d32.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Februari 22, 2020 ametoa pole kwa familia ya Mathew Champanda nyumbani kwa marehemu eneo la Mwanga mjini Kigoma. Marehemu Champanda ambaye ni kaka mkubwa wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF), Kidao Wilfred (wa pili kulia ) alifriiki dunia Februari 19, 2020 na anatarajiwa kuzikwa leo...
9 years ago
Habarileo08 Sep
JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi
RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
JK atoa salamu za pole kwa wanahabari
RAIS Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku, wa kampuni ya New...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7866AA-768x512.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA FAMILIA YA SOKOINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s640/PMO_7866AA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na familia ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Hayati Edward Moringe Sokoine wakati alipokwenda kutoa pole kwa familia hiyo imeondokewa na Lazaro Edward Sokoine jijini Dar es salaam, Machi 29, 2020. Kutoka kushoto ni Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais, Halima Jama, Mama Napono Sokoine , Christina Towo Sokoine na Kulia ni Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kivuyo Lemburs
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7869AA-1024x618.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PpREGcKtBC8/VcENwFnNFhI/AAAAAAAAjOs/3njdklZ-mDM/s72-c/01.jpg)
MAGUFULI ATOA POLE KWA FAMILIA YA MZEE PETER KISUMO
![](http://4.bp.blogspot.com/-PpREGcKtBC8/VcENwFnNFhI/AAAAAAAAjOs/3njdklZ-mDM/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tJeds231hKw/VcGeFK2k-qI/AAAAAAAAjTY/BqyHu8U7EOk/s640/1.jpg)