WANAFAMILIA SITA WALIOTEKETEA KWA MOTO WAZIKWA JIJINI DAR
![](http://img.youtube.com/vi/st4AJLMa0ak/default.jpg)
Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akiweka shada la maua katika mojawapo ya makaburi ya wanafamilia.
Mojawapo ya jeneza likishushwa kaburini.
Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu wakati wa mazishi.
Mmoja wa wanandugu akipewa huduma ya kwanza baada ya kuanguka wakati wa mazishi hayo.MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar
9 years ago
Vijimambo28 Aug
HABARI KAMILI YA WATU 9 WALIOTEKETEA KWA MOTO BUGURUNI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/11947472_1081693931848512_1592356212416966947_n.png)
Nyumba hiyo iliyoteketea iko Mtaa wa Gulam katika eneo la Buguruni Malapa na baba wa familia hiyo, Masoud Matal hali yake ni mbaya. Marehemu hao walizikwa jana katika makaburi ya Kisutu.
Wakizungumza na mwandishi, majirani walisema marehemu hao walikutwa wamekumbatiana baada ya kupiga kelele kwa muda mrefu wakiomba...
10 years ago
Habarileo10 Feb
JK atoa pole kwa ndugu walioteketea kwa moto
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki kuomboleza vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto usiku wa kuamkia Jumamosi, Januari 7, 2015, katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cWaEsBYdR2c/VNXxwIOhY9I/AAAAAAAAPos/3JclIWC3swk/s72-c/IMG-20150207-WA0066.jpg)
WATU SITA WATEKETEA KWA MOTO KIPUNGUNI, DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-cWaEsBYdR2c/VNXxwIOhY9I/AAAAAAAAPos/3JclIWC3swk/s640/IMG-20150207-WA0066.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZL-5BJ0OPbb3STk6edKQM-Lq3zfyCvyCw8m1IaHfOOHdLDss96bNV8mEl5WkHFdEFu-0tTAK*9hEGqAKRMWElr/mazikoaisha1.jpg)
MWILI WA AISHA MADINDA WAZIKWA MAKABURI YA KIBADA, KIGAMBONI JIJINI DAR
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Makamu wa rais, Dk. Bilal ahudhuria mazishi ya ndugu sita waliokufa kwa ajali ya moto Dar.
MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yamefanyika leo katika makaburi ya Airwing, Keko jijini Dar e s Salaam huku yakiuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama na serikali, taasisi na makampuni binafsi.
Akizungumza kwa huzuni wakati akiwapa pole ndugu, majirani, marafiki...
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Familia yateketea kwa moto jijini Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgA2LhQowgioMipa1BIHd8hH6joHesrD-LVrdVJkKL1OPxDJUUP6opTE608sTwSmkmz00AvWgKRFNFAZWVdI1JaN/ajali2.jpg?width=650)
PIKIPIKI YATEKETEA KWA MOTO UBUNGO JIJINI DAR
10 years ago
Habarileo14 Apr
Abiria ajali ya moto wazikwa kaburi moja
MAELFU ya wakazi wa Tarafa ya Kidatu wilaya ya Kilombero na Mikumi, wilayani Kilosa mkoani Morogoro, walijawa na simanzi kubwa zilizotawaliwa na vilio wakati wa maziko ya miili ya watu 15 waliozikwa jana kwenye kaburi moja, ikiwa ni siku moja baada ya kufa kwa kuteketea kwa moto baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Kampuni ya Nganga Express kulipuka lililopogongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso.