Makamu wa rais, Dk. Bilal ahudhuria mazishi ya ndugu sita waliokufa kwa ajali ya moto Dar.
MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal leo amewaongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam katika mazishi ya watu sita wa familia moja waliofariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea wiki iliyopita huko Kipunguni jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yamefanyika leo katika makaburi ya Airwing, Keko jijini Dar e s Salaam huku yakiuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa vyama na serikali, taasisi na makampuni binafsi.
Akizungumza kwa huzuni wakati akiwapa pole ndugu, majirani, marafiki...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS, DK. BILAL AONGOZA MAMIA KWENYE MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA DAR
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-H19e48LhcxM/VN8ma1FuosI/AAAAAAAHDtQ/ZhZs4Uv-1LM/s1600/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA LA KIMATAIFA KWA NCHI ZA AFRIKA JIJINI DUBAI, FARME ZA KIARABU
![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-INlvWxbsZHo/VC5tHVuGDTI/AAAAAAADG54/4WKYfNw25FU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KUAPISHWA RAIS WA NIGERIA LEO
10 years ago
Michuzi12 Nov
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-E-KaSUlmzJM/VGNk2plRs_I/AAAAAAAGwxc/Ny_Psyyo1PU/s640/unnamed%2B(87).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-onk4naEbBHM/VGNk209EPTI/AAAAAAAGwxk/-eFN3tcwar4/s640/unnamed%2B(88).jpg)
10 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-E-KaSUlmzJM/VGNk2plRs_I/AAAAAAAGwxc/Ny_Psyyo1PU/s640/unnamed%2B%2887%29.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MAZISHI YA RAIS SATA WA ZAMBIA NOV 11, 2014
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MsAjCqRSvvM/VjRzJ7b5AoI/AAAAAAAIDx0/K26UkBA3mAw/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA CHI ZA AFRIKA NA INDIA NEW DELHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsAjCqRSvvM/VjRzJ7b5AoI/AAAAAAAIDx0/K26UkBA3mAw/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfuT-nEb1O8/VjRzJuF0ewI/AAAAAAAIDxw/NgyiF3dstTc/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)