Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA KONGAMANO LA BIASHARA LA KIMATAIFA KWA NCHI ZA AFRIKA JIJINI DUBAI, FARME ZA KIARABU
![](http://2.bp.blogspot.com/--wr-0EkKM8I/VC5swFvyc6I/AAAAAAADG5o/NW2Nx1VaMf0/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-INlvWxbsZHo/VC5tHVuGDTI/AAAAAAADG54/4WKYfNw25FU/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Oct
Makamu wa Rais aiwakilisha Tanzania katika kongamano la pili la kimataifa la biashara kwa nchi za Afrika Jijini Dubai
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika majadiliano kuhusu utengamano wa Afrika na Fursa za biashara na Uwekezaji Katibu na Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Richard Sezibera, wakati wakihojiwa na Mwandishi wa habari wa Kimataifa na Mkurugenzi wa Kampuni ya ‘Eddo Media’, Mark Eddo (kushoto). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Oktoba Mosi, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QOAcK6scAYE/U-IXyxXo7II/AAAAAAAF9js/ZCH1lb_UAAM/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI KWA NCHI ZA AFRIKA NA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA, JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo ambalo limedhaminiwa na Shirika la misaada la Kimataifa la Marekani (USAID) linalenga kukuza tafiti za kisayansi na kutanua maendeleo ya tafiti hizo ili yasaidie wananchi wa nchi za ukanda huu hasa vijana ambao wanaelezwa kuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4tTXJHxqAds/VecIMMhQ6mI/AAAAAAAC-SM/WJFBcq1HCuc/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA MANUNUZI YA UMMA KWA NCHI WANACHAMA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4tTXJHxqAds/VecIMMhQ6mI/AAAAAAAC-SM/WJFBcq1HCuc/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgjEBSRfBt4/VecIRQhUHOI/AAAAAAAC-TE/8hE5drxhgh4/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Dg8fnHuoLk/VecIMkrhm2I/AAAAAAAC-SU/23BbaeylQBM/s640/11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1siOm2VNFvw/VFDmRgUMFDI/AAAAAAAGuC8/SX3lHoAqum4/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA TANO LA KIMATAIFA KUJADILI MATUMIZI YA NISHATI ITOKANAYO NA JOTO ARDHI KATIKA NCHI ZA AFRIKA ZINAZOPITIWA NA BONDE LA UFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1siOm2VNFvw/VFDmRgUMFDI/AAAAAAAGuC8/SX3lHoAqum4/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xELV_ETewbY/VFDmRgPjVxI/AAAAAAAGuC4/BkiRl5_Addw/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nnChZCZDam0/VFDmSqhiMaI/AAAAAAAGuDE/y_gpe7Fytu8/s1600/4.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
Dkt. Bilal afungua kongamano la Kimataifa la Sayansi kwa nchi za Afrika na Kusini mwa jangwa la Sahara, Jijini Arusha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Chuo cha Nelson Mandela cha jijini Arusha wakati alipowasili kwa ajili ya kufungua Kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu ukuzaji na uendelezaji wa Tafiti za Kisayansi kwa nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la sahara. (Picha na OMR).
Kongamano hilo la siku tatu limefanyika katika Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) Jijini Arusha Agosti...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Hx_jpcOzjA/VHXARkikPII/AAAAAAAGzkU/LbAJKNhf6LQ/s1600/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UyYyassfkwk/VHXAbbdwEiI/AAAAAAAGzlM/oPwG4TSp4U8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oqOgKL6z2Vk/VHXAaWc3rBI/AAAAAAAGzlE/jpXoqTyuqN8/s1600/2.jpg)