Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar
>Huzuni, simanzi na majonzi jana vilitawala maeneo ya Kipunguni A na baadaye kwenye Makaburi ya Airwing Ukonga, Ilala wakati miili ya watu sita waliofariki dunia kwa kuungua moto Jumamosi alfajiri ilipozikwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Mar
Vilio, simanzi mazishi ya Komba
RAIS Jakaya Kikwete jana ameongoza mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kuaga mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba aliyefariki Jumamosi jioni katika Hospitali ya TMJ ikielezwa kuwa kaondoka kama moto wa kiberiti.
10 years ago
GPLMAJONZI, VILIO NA SIMANZI VYATAWALA MAZISHI YA SYLVESTRE MARSH JIJINI MWANZA
10 years ago
Vijimambo18 Mar
MAJONZI, VILIO NA SIMANZI VYATAWALA MAZISHI YA SYLVESTRE MARSH JIJINI MWANZA
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Simanzi, vilio vyatawala Dar
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIMANZI na vilio vimetawala jana eneo la Kipunguni Ukonga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mhandisi mstaafu wa ndege, marehemu Luteni David Mpira (68), ambaye alifariki pamoja na familia yake ya watu watano baada ya nyumba yao kuungua na moto usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Mpira ambaye enzi za uhai wake alikuwa mwanajeshi, alikutwa na umauti huo saa tisa usiku pamoja na mke wake Celina Mpira (62), mtoto wake Lucas Mpira (37), shemeji yake Samuel Yegera...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Bomoabomoa yaacha vilio, simanzi Dar
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/st4AJLMa0ak/default.jpg)
WANAFAMILIA SITA WALIOTEKETEA KWA MOTO WAZIKWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6JBqD9ldCPnGpbrlI2LiVYy0iuFpGB10gxydG86m1cZnj-bwWQvUYNWz5l*MNYcEmb8Rd89gphZ3mvIMY-rdnSd/IMG20140529WA0018.jpg?width=650)
NI VILIO, SIMANZI NYUMBANI KWA MAREHEMU RECHO
11 years ago
Mwananchi01 Apr
‘Hiyo ni kitu mbaya’: Vilio, simanzi baada ya mabomu kuua 6 Nairobi [VIDEO]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*r6sbmstWSOG-IQGMd52DN5*i6J3J6wtcKVA9peCQ1m3PH7hJPJpSv-l2EnoRzN7l6V1avSXST*pZ9mqy1RjRFP/ngaluma.jpg)
SIMANZI MAZISHI YA AMINA NGALUMA