JK atoa salamu za pole kwa wanahabari
RAIS Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku, wa kampuni ya New...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s72-c/New%2BPicture.png)
Rais Magufuli atuma salamu za pole kwa IGP Mangu
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s1600/New%2BPicture.png)
Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi hapa Nchini IGP Ernest Mangu kufuatia kifo cha msaidizi wake Inspekta - Gerald Ryoba...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s72-c/tff-1.jpg)
RAIS TFF ATUMA SALAMU ZA POLE KWA WAHANGA WA MAFURIKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s320/tff-1.jpg)
Katika salam zake kupitia kwa Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Mecky Sadik, Malinzi amesema familia zimepoteza makazi, miundombinu ya usafiri na michezo imeharibika na hata kuwa katika hali ya kutotumika, wanawake watoto, familia, shughuli za kiuchumi na kimichezo...
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua
Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.
"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .
Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.
Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone...
9 years ago
Habarileo08 Sep
JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi
RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
10 years ago
VijimamboMPWA ATOA POLE KWA ELVIS KWA MSIBA WA BABA YAKE
Liganga akiwa na mama mwenye nyumba wake wakiwa nyumbani kwa Elvis Mnyamuru.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7866AA-768x512.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA FAMILIA YA SOKOINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s640/PMO_7866AA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na familia ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Hayati Edward Moringe Sokoine wakati alipokwenda kutoa pole kwa familia hiyo imeondokewa na Lazaro Edward Sokoine jijini Dar es salaam, Machi 29, 2020. Kutoka kushoto ni Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais, Halima Jama, Mama Napono Sokoine , Christina Towo Sokoine na Kulia ni Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kivuyo Lemburs
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7869AA-1024x618.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Feb
JK atoa pole kwa ndugu walioteketea kwa moto
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki kuomboleza vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto usiku wa kuamkia Jumamosi, Januari 7, 2015, katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.