DKT. MWAKYEMBE ATOA SALAMU ZA POLE KWA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5cyuBLvyKyI/VW20qJKa4vI/AAAAAAAHbWU/BEqMHRvUxfs/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5cyuBLvyKyI/VW20qJKa4vI/AAAAAAAHbWU/BEqMHRvUxfs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2JnrtpukDM/VW20p7YoXAI/AAAAAAAHbWY/4vvdF8WCkxk/s640/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-36CJmjC33YY/VW20p7JiSiI/AAAAAAAHbWc/y3trnhkoCgM/s640/2.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
JK atoa salamu za pole kwa wanahabari
RAIS Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku, wa kampuni ya New...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea kwa mshituko mkubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mb) kilichotokea leo alfajiri Mei 01, 2020 Jijini Dodoma.
Tume inatoa pole kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuondokewa na kiongozi mchapakazi, mwadilifu, mzalendo na mwanadiplomasia mahiri aliyeiwakilisha na kuipigania Tanzania katika nyanja za Kimataifa...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/41x6uoCW2G8/default.jpg)
Dkt Shein Atoa salamu Kwa Wananchi Kukaribisha Mwaka Mpya na habari zingine kupitia simu TV
Wachezaji wa klabu ya Simba jana wamelionja joto la jiwe baada ya mashabiki wa Ndanda FC kuwavamia wachezaji wakati wa mazoezi. https://youtu.be/6kqjr9XjQ00
Timu ya CDA imetupwa nje katika mashindano ya kombe la shirikisho baada ya kupokea kichapo cha bao 1 toka kwa Singida United. https://youtu.be/KmxQHdfWOqUSerikali imetoa tamko kuwa itaendelea kuwalipa mishahara makocha wote wa timu za taifa https://youtu.be/Ochi73k6Q64Fahamu mengi kutoka kwa Mch. Samwel Maela akikufundisha mengi...
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Rais Kikwete amtumia salamu za pole Dkt. Shein kufuatia mlipuko wa bomu Zanzibar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine sita kujeruhiwa akiwemo mhubiri wa amani ajulikanaye kama Sheikh Ahmed Haidari Jabir wa Zanzibar, kutokana na kurushwa kwa Bomu katika shughuli ya kidini iliyokuwa ikifanyika katika eneo la Darajani tarehe 13 Juni,2014, mjini Unguja.
‘Hicho ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu zote na watu wote...
9 years ago
MichuziDKT. MWAKYEMBE ATEMBELEA OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA (DPP)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-btWbbYPJNz8/U657WR6YIJI/AAAAAAAFtUs/z6Cb96PITBc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
DKT SHEIN ATOA salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
![](http://3.bp.blogspot.com/-btWbbYPJNz8/U657WR6YIJI/AAAAAAAFtUs/z6Cb96PITBc/s1600/unnamed+(5).jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitoa salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Wananchi wa Zanzibar na Tanzania kwa Ujumla. Pia aliwatakia mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali. Picha na Ramadhan Othman, Ikulu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s72-c/tff-1.jpg)
RAIS TFF ATUMA SALAMU ZA POLE KWA WAHANGA WA MAFURIKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s320/tff-1.jpg)
Katika salam zake kupitia kwa Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Mecky Sadik, Malinzi amesema familia zimepoteza makazi, miundombinu ya usafiri na michezo imeharibika na hata kuwa katika hali ya kutotumika, wanawake watoto, familia, shughuli za kiuchumi na kimichezo...