MPWA ATOA POLE KWA ELVIS KWA MSIBA WA BABA YAKE
Dj Luke (kushoto akiwa katika picha ya pamoja na Elvis Mnyamuru (kulia) siku ya Jumamosi Februari 28, 2015 alipokwenda nyumbani kwake mji wa Winder uliopo maili 55 nje ya jiji la Atlanta jimbo la Georgia kummpa pole ya kufiwa na baba yake ambayo siku hiyo ilikua ni siku ya arobaini tangia kifo cha Mzee Ibrahim Mnyamuru. Kati ni Liganga mchezaji wa Stars United.
Liganga akiwa na mama mwenye nyumba wake wakiwa nyumbani kwa Elvis Mnyamuru.Elvis Mnyamuru katika picha ya pamoja na mama mwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
modewjiblog inatoa pole kwa Mh Dk. Hamisi Kigwangalla kwa kufiwa na baba yake
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 amefiwa na baba yake mzazi Mzee Kigwangalla aliyekuwa akipatiwa matibabu nchi India.
modewjiblog inatoa pole kwa familia nzima ya Dk. Hamis Kigwangalla katika kipindi hichi kigumu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu na faraja.
inna lillahi wa inallah-e-raji’oon.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s72-c/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA KWA FAMILIA YA MAREHEMU CHAMPANDA, KAKA YAKE KATIBU MKUU WA TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s640/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/32eddfd1-495c-445e-a9b3-2b29c0ee0d32.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Februari 22, 2020 ametoa pole kwa familia ya Mathew Champanda nyumbani kwa marehemu eneo la Mwanga mjini Kigoma. Marehemu Champanda ambaye ni kaka mkubwa wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF), Kidao Wilfred (wa pili kulia ) alifriiki dunia Februari 19, 2020 na anatarajiwa kuzikwa leo...
10 years ago
Bongo520 Feb
Diamond atoa sababu za kushindwa kuhudhuria msiba wa baba yake Dully, Ebby Sykes
10 years ago
Vijimambo23 Feb
PICHA ZA MAZISHI YA BABA YAKE ELVIS NA SALOME WANAOISHI NCHINI MAREKANI
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/11011640_10153086645692370_7349177993436697334_n.jpg?oh=915a23dff059349fdadb3a445769bfd3&oe=558AB5B5&__gda__=1431142858_9ae880823545ec375479a26c5581d713)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10981962_10153086645242370_6471912667187414922_n.jpg?oh=60039c7452e211101a1f4b09f17c02b1&oe=5593AEAB)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10995786_10153086645462370_8106733769173163468_n.jpg?oh=53681854fbc8b5ea3b0b1e125ca9f980&oe=5595E8E2)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/10999442_10153086645342370_7379930275247631152_n.jpg?oh=be9e6975a41a1614c1c4e684d9e244c9&oe=559431E2&__gda__=1431482269_14a8af16fc419160eeba26cd5c81a4c3)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10993494_10153086646622370_7105540601573884068_n.jpg?oh=6275196a66acec4e3b82a7bc8c91b81f&oe=558392B4)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10995665_10153086646352370_1996776579259628425_n.jpg?oh=74fb6c9b1fb5b5dc3fdd3974ed5ead05&oe=55813E34)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/l/t1.0-9/10923282_10153086646237370_603330942838640383_n.jpg?oh=b3e3001a26869344196ece6b113e016e&oe=558FD586)
![](https://scontent-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/1234106_10153086645862370_7212035584784285721_n.jpg?oh=4265844a75e61831e8348e8043343ea4&oe=5548E5CB)
10 years ago
Habarileo10 Feb
JK atoa pole kwa ndugu walioteketea kwa moto
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki kuomboleza vifo vya watu sita wa familia moja waliopoteza maisha kwa ajali ya moto usiku wa kuamkia Jumamosi, Januari 7, 2015, katika eneo la Kipunguni A, Ukonga Banana, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
JK atoa salamu za pole kwa wanahabari
RAIS Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku, wa kampuni ya New...
9 years ago
Habarileo08 Sep
JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi
RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7866AA-768x512.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA FAMILIA YA SOKOINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-hm-_66A-Kz0/XoDpmuz-tSI/AAAAAAALlfY/MOz0WbWgMX0ugTcRg_9tstNhE94SOXY2gCLcBGAsYHQ/s640/PMO_7866AA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na familia ya Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Hayati Edward Moringe Sokoine wakati alipokwenda kutoa pole kwa familia hiyo imeondokewa na Lazaro Edward Sokoine jijini Dar es salaam, Machi 29, 2020. Kutoka kushoto ni Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais, Halima Jama, Mama Napono Sokoine , Christina Towo Sokoine na Kulia ni Mkuu wa Wilaya Mstaafu, Kivuyo Lemburs
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7869AA-1024x618.jpg)
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA
Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...