modewjiblog inatoa pole kwa Mh Dk. Hamisi Kigwangalla kwa kufiwa na baba yake
Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ambaye ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 amefiwa na baba yake mzazi Mzee Kigwangalla aliyekuwa akipatiwa matibabu nchi India.
modewjiblog inatoa pole kwa familia nzima ya Dk. Hamis Kigwangalla katika kipindi hichi kigumu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu na faraja.
inna lillahi wa inallah-e-raji’oon.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA
Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...
10 years ago
VijimamboMPWA ATOA POLE KWA ELVIS KWA MSIBA WA BABA YAKE
Liganga akiwa na mama mwenye nyumba wake wakiwa nyumbani kwa Elvis Mnyamuru.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Rais Kikwete amfariji Nehemia Mchechu kwa kufiwa na baba yake
![](http://1.bp.blogspot.com/-4lJbhkwnxGo/VbHUMxHyr7I/AAAAAAAHrag/ZgdehYqZxwE/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3bnvT7nf1GM/VbHUNHvl7XI/AAAAAAAHrak/dxnt2lkl0gw/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Dk Hamisi Kigwangalla
>Kufaidika: Nimekuwa mtetezi na sauti yenu siku zote. Kuhusu kuridhika, hilo ni gumu kidogo, maana ni uamuzi wa mtu, ila haya machache yafuatayo ndiyo niliyojitahidi kuyafuatilia na kuyasimamia.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IRUMv7t-BkY/VKXQaRBHbPI/AAAAAAADLIU/FVC7ZS4GdRQ/s72-c/115.jpg)
Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-IRUMv7t-BkY/VKXQaRBHbPI/AAAAAAADLIU/FVC7ZS4GdRQ/s1600/115.jpg)
Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s72-c/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
MAJALIWA ATOA POLE KWA KWA FAMILIA YA MAREHEMU CHAMPANDA, KAKA YAKE KATIBU MKUU WA TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-md9Q_sNtLF4/XlFGibv3IiI/AAAAAAALe1U/HHPvjUqBVM0sxdFhb6oU6I4cvB_CEyeJQCLcBGAsYHQ/s640/a9df0cf2-f711-481e-a4c8-590517041bd1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/32eddfd1-495c-445e-a9b3-2b29c0ee0d32.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Februari 22, 2020 ametoa pole kwa familia ya Mathew Champanda nyumbani kwa marehemu eneo la Mwanga mjini Kigoma. Marehemu Champanda ambaye ni kaka mkubwa wa Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa MiguuTanzania (TFF), Kidao Wilfred (wa pili kulia ) alifriiki dunia Februari 19, 2020 na anatarajiwa kuzikwa leo...
10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI
5 years ago
CCM BlogMTOTO WA MIAKA 17 MIKONONI MWA POLISI KWA KWA TUHUMA ZA KUMUUA BABA YAKE
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, alidai kuwa Mei 31, saa 12 alfajiri Kitongoji cha Manyani, Kata ya Mkalama wilayani Gairo, mtu aliyejulikana kwa jina la Issaya Lameck (41), maarufu kama Kusaganika, fundi Muwashi, aliuawa kwa kupigwa na mtoto wake mwenye miaka 17 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili).
Kamanda Mutafungwa...
11 years ago
Bongo501 Aug
Video: Mama amtuma mtoto kwa baba yake kwa kumfunga kama kifurushi (parcel)
Hiki ni kisa kilichotokea nchini Kenya na kuripotiwa na NTV, ambapo mwanamke mmoja ambaye ni mama ameamua kumfunga mwanaye kama mzigo na kumtuma kwa baba yake kwa njia ya kifurushi. Mtoto huyo wa kiume ana umri wa wiki tatu. Wafanyakazi wa kampuni ya G4S ambapo anayedaiwa kuwa baba wa mtoto huyo nafanya kazi, wamesema walikuta […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania