MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Dk Hamisi Kigwangalla
>Kufaidika: Nimekuwa mtetezi na sauti yenu siku zote. Kuhusu kuridhika, hilo ni gumu kidogo, maana ni uamuzi wa mtu, ila haya machache yafuatayo ndiyo niliyojitahidi kuyafuatilia na kuyasimamia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSalamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015
Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla-Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.Ndugu Watanzania wenzangu,Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Maswali 10 kwa Mbunge wangu-Saleh Pamba
Wakati wa kampeni za kuwania ubunge uliwaahidi wananchi kuwa wakikuchagua utafikisha umeme Kijiji cha Mkalamo, umefikia hatua gani?
10 years ago
Mwananchi24 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Deogratias Ntukamazina
>Uliahidi kuondoa kero ya wazee kulipia gharama za matibabu katika vituo vya kutolea huduma, hadi sasa wananchi bado wanataabika. Je, umefanya jitihada gani kuhakikisha wazee hao wanatibiwa bure katika hospitali ndani ya meneo yao?
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi12 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: STEPHEN MASELE
Kwa kuwa tulikuchagua kuwa mwakilishi wetu na kwa bahati nzuri ukachaguliwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (kabla ya kuhamishwa), kwa nini hujaunganisha umeme katika kata zilizopembezoni kidogo na mjini hata za vijijini?
10 years ago
Mwananchi27 Jan
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Philip Ndesamburo
>Mchakato wa Katiba umekuja kutokana na azimio la Bunge na agizo ama msukumo wa Rais.Kwa bahati mbaya Rais na chama chake CCM hawakutaka kukubali mchakato ambao utaleta Katiba yenye kuwalinda na kutetea masilahi ya Watanzania wote.
10 years ago
Mwananchi25 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: John Mnyika
>Ulituahidi kuondoa kero ya machinga kabla ya kupata kura yangu, leo hii tunaishi kama popo mitaani umefanya jitihada gani mpaka sasa?
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa
Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu: VICENT NYERERE
>Tuliahidi elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha sita kwa ngazi ya jimbo, hatukufanya hivyo zaidi ya kupunguza ada kwa kuwa tulitegema kuunda Serikali na kupata mawaziri ila haikuwa hivyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania