Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri

uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Ezekia Wenje

Katika miaka minne ya ubunge wako umeleta mendeleo gani kwa wananchi hasa Kata ya Mkolani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Dk Emmanuel Nchimbi

Uliahidi kutasaidia mikopo kwa kina mama ili waweze kuanzisha miradi midogomidogo ya ufugaji, ufundi au utengenezaji batiki, Je, kwa nini hujatekeleza?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mary Nagu

Robert Sulle, mchimbaji mdogo wa madini ya chumvi kwenye Kijiji cha Gendabi. Uwezeshaji wa mgodi wa chumvi umefikia hatua gani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:January Makamba

Wakati unaomba kura ulituahidi ifikapo mwaka 2014, Mji wa Soni utakuwa hauna tena shida ya maji, lakini mpaka sasa tatizo liko palepale, bado wakazi wa Soni wanahangaika kupata maji. Je, una mkakati gani wa kutuletea maji wakazi wa Soni.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani

Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu Mohammed Dewji

Nitawaagiza wataalamu kutoka ofisi ya mkurugenzi wa manispaa waje kutembelea kikundi chenu na kutoa ushauri na elimu ya ufugaji wa samaki kisasa, pamoja na kukisajili.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde

Uliahidi ukichaguliwa utajenga na kuishi karibu na wapigakura wako, inakuwaje kipindi kirefu unaishi mbali na wapiga kura wako?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani