Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri
uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Ezekia Wenje
Katika miaka minne ya ubunge wako umeleta mendeleo gani kwa wananchi hasa Kata ya Mkolani?
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Dk Emmanuel Nchimbi
Uliahidi kutasaidia mikopo kwa kina mama ili waweze kuanzisha miradi midogomidogo ya ufugaji, ufundi au utengenezaji batiki, Je, kwa nini hujatekeleza?
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mary Nagu
Robert Sulle, mchimbaji mdogo wa madini ya chumvi kwenye Kijiji cha Gendabi.
Uwezeshaji wa mgodi wa chumvi umefikia hatua gani?
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:January Makamba
Wakati unaomba kura ulituahidi ifikapo mwaka 2014, Mji wa Soni utakuwa hauna tena shida ya maji, lakini mpaka sasa tatizo liko palepale, bado wakazi wa Soni wanahangaika kupata maji. Je, una mkakati gani wa kutuletea maji wakazi wa Soni.
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani
Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu Mohammed Dewji
Nitawaagiza wataalamu kutoka ofisi ya mkurugenzi wa manispaa waje kutembelea kikundi chenu na kutoa ushauri na elimu ya ufugaji wa samaki kisasa, pamoja na kukisajili.
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde
Uliahidi ukichaguliwa utajenga na kuishi karibu na wapigakura wako, inakuwaje kipindi kirefu unaishi mbali na wapiga kura wako?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania