Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde

Uliahidi ukichaguliwa utajenga na kuishi karibu na wapigakura wako, inakuwaje kipindi kirefu unaishi mbali na wapiga kura wako?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani

Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joshua Nasari

Shamba la Madiira ni miongoni mwa mashamba 11 ambayo umiliki wake ulifutwa na Wizara ya Ardhi kwa agizo la Rais tangu mwaka 1999. Kwa sababu za uzembe na ufisadi mpaka sasa halijarudishwa kwa wananchi au halmashauri.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Murtaza Mangungu

Jibu: Barabara hii imefanyiwa matengenezo makubwa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madaraja yote na sasa inapitika kipindi chote. Lipo tatizo katika eneo la Kinywanyu ambalo katika bajeti ya mwaka huu litafanyiwa matengenezo makubwa. Ujenzi pia umefanyika Barabara ya Nasaya - Mtondoa Kimwaga - Kandawale.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu

Umewaagiza wananchi wasichangie miradi yao ya maendeleo kwa madai Serikali ina fedha za kutosha za kugharamia, mbona hadi sasa hujahimiza Serikali ilete hizo fedha pamoja na za ujenzi wa maabara?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Silvestry Koka

Uliahidi kutoa pikipiki moja kwa kila kata kwa vijana wa jimbo lako iwe mbegu ya kupata pikipiki nyingine, lakini mpaka sasa hujatekeleza, una mpango gani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Israel Natse

1. Agnes Michael, mkazi wa Kijiji cha Gongali, Kata ya Qurus.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mathias Chikawe

Umefanya mambo gani katika kuinua sekta ya elimu tangu uingie madarakani 2005 hadi sasa? Jibu: Wakati naingia madarakani mwaka 2005 shule za sekondari zilikuwa sita lakini sasa zipo 19. Nimejenga bweni moja shule maalumu ya wasichana wanalala wanafunzi 45.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani