Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Murtaza Mangungu
Jibu: Barabara hii imefanyiwa matengenezo makubwa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madaraja yote na sasa inapitika kipindi chote. Lipo tatizo katika eneo la Kinywanyu ambalo katika bajeti ya mwaka huu litafanyiwa matengenezo makubwa. Ujenzi pia umefanyika Barabara ya Nasaya - Mtondoa Kimwaga - Kandawale.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:January Makamba
Wakati unaomba kura ulituahidi ifikapo mwaka 2014, Mji wa Soni utakuwa hauna tena shida ya maji, lakini mpaka sasa tatizo liko palepale, bado wakazi wa Soni wanahangaika kupata maji. Je, una mkakati gani wa kutuletea maji wakazi wa Soni.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Silvestry Koka
Uliahidi kutoa pikipiki moja kwa kila kata kwa vijana wa jimbo lako iwe mbegu ya kupata pikipiki nyingine, lakini mpaka sasa hujatekeleza, una mpango gani?
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mary Nagu
Robert Sulle, mchimbaji mdogo wa madini ya chumvi kwenye Kijiji cha Gendabi.
Uwezeshaji wa mgodi wa chumvi umefikia hatua gani?
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi
Lini Jiji la Mbeya litapata barabara za njia mbili kupunguza msongamano?
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi
Kila mwaka tumekuwa tukichangishwa michango inayodaiwa kuwa ni ya maendeleo wakati mwingine tumekuwa tukichangia nguvu zetu katika kutekeleza baadhi ya majukumu, kwa nini hadi leo hatujawahi kusomewa mapato na matumizi ya kijiji chetu?.
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde
Uliahidi ukichaguliwa utajenga na kuishi karibu na wapigakura wako, inakuwaje kipindi kirefu unaishi mbali na wapiga kura wako?
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Gregory Teu
Uliahidi kuwa karibu na wananchi wako lakini hata ulipovuliwa unaibu waziri bado uko Dar je, ulitudanganya?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania