Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mary Nagu
Robert Sulle, mchimbaji mdogo wa madini ya chumvi kwenye Kijiji cha Gendabi. Uwezeshaji wa mgodi wa chumvi umefikia hatua gani?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:January Makamba
Wakati unaomba kura ulituahidi ifikapo mwaka 2014, Mji wa Soni utakuwa hauna tena shida ya maji, lakini mpaka sasa tatizo liko palepale, bado wakazi wa Soni wanahangaika kupata maji. Je, una mkakati gani wa kutuletea maji wakazi wa Soni.
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joshua Nasari
Shamba la Madiira ni miongoni mwa mashamba 11 ambayo umiliki wake ulifutwa na Wizara ya Ardhi kwa agizo la Rais tangu mwaka 1999. Kwa sababu za uzembe na ufisadi mpaka sasa halijarudishwa kwa wananchi au halmashauri.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Murtaza Mangungu
Jibu: Barabara hii imefanyiwa matengenezo makubwa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madaraja yote na sasa inapitika kipindi chote. Lipo tatizo katika eneo la Kinywanyu ambalo katika bajeti ya mwaka huu litafanyiwa matengenezo makubwa. Ujenzi pia umefanyika Barabara ya Nasaya - Mtondoa Kimwaga - Kandawale.
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mustapha Akunaay
Tangu niwe Mbunge wananchi wa jimbo la Mbulu wamejua haki zao za kikatiba na wamekuwa jasiri kutetea na kudai haki hizo.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max
Uliwaahidi wakazi wa Kijiji cha Nyantorotoro, Geita maji baada ya kuwaona wanateseka kwa kunywa maji ya chumvi na meupe kama maziwa, lakini mpaka leo bado wanateseka.
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Moses Machali
Wilaya ya Kasulu inakabiliwa na wimbi kubwa la uhalifu na kila wanapokamatwa hata kama kuna vithibitisho vya kutosha, wahalifu hao huachwa bila kuchukuliwa hatua za kisheria na hivyo kuzidi kwa vitendo vya uhalifu. Utafanya nini ili kukomesha tabia ya polisi kuwaachia watuhumiwa kienyeji?
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Israel Natse
1. Agnes Michael, mkazi wa Kijiji cha Gongali, Kata ya Qurus.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania