Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joshua Nasari

Shamba la Madiira ni miongoni mwa mashamba 11 ambayo umiliki wake ulifutwa na Wizara ya Ardhi kwa agizo la Rais tangu mwaka 1999. Kwa sababu za uzembe na ufisadi mpaka sasa halijarudishwa kwa wananchi au halmashauri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga

Barabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Dk Emmanuel Nchimbi

Uliahidi kutasaidia mikopo kwa kina mama ili waweze kuanzisha miradi midogomidogo ya ufugaji, ufundi au utengenezaji batiki, Je, kwa nini hujatekeleza?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri

uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Gregory Teu

Uliahidi kuwa karibu na wananchi wako lakini hata ulipovuliwa unaibu waziri bado uko Dar je, ulitudanganya?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu

Umewaagiza wananchi wasichangie miradi yao ya maendeleo kwa madai Serikali ina fedha za kutosha za kugharamia, mbona hadi sasa hujahimiza Serikali ilete hizo fedha pamoja na za ujenzi wa maabara?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani

Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:David Silinde

Uliahidi ukichaguliwa utajenga na kuishi karibu na wapigakura wako, inakuwaje kipindi kirefu unaishi mbali na wapiga kura wako?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani