Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani
Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: STEPHEN MASELE
Kwa kuwa tulikuchagua kuwa mwakilishi wetu na kwa bahati nzuri ukachaguliwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (kabla ya kuhamishwa), kwa nini hujaunganisha umeme katika kata zilizopembezoni kidogo na mjini hata za vijijini?
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Maswali kumi kwa mbunge wangu Aliko Kibona
Wewe na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kampeni za 2010 mliahidi kujenga barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole, lakini hivi sasa hakuna dalili wala maelezo kwa nini jambo hilo halijatekelezwa.
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Kisyeri Chambiri
uliwaahidi wananchi kwamba nusu ya mshahara wako wa ubunge utagawana nao kwa kufanikisha maendeleo, mbona hadi sasa hujatekeleza ahadi hiyo ya kutoa nusu mshahara wako?
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
Barabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu: Suleiman Jafo
Kwanini Zahanati ya Kisanga haifunguliwi? Na wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunapata vifaa?
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu Mohammed Dewji
Nitawaagiza wataalamu kutoka ofisi ya mkurugenzi wa manispaa waje kutembelea kikundi chenu na kutoa ushauri na elimu ya ufugaji wa samaki kisasa, pamoja na kukisajili.
10 years ago
Vijimambo18 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2526114/highRes/878424/-/maxw/600/-/yngo5f/-/Makongoro.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania