Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali Kumi kwa Mbunge wangu: Suleiman Jafo

Kwanini Zahanati ya Kisanga haifunguliwi? Na wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunapata vifaa?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Abdulsalaam Suleiman Ameir

>Suala la mipaka katika Tarafa ya Mikumi tayari limepatiwa ufumbuzi kwa vikao vilivyofanyika kati ya mbunge, uongozi wa wilaya, kata na uongozi wa Tanapa (Mikumi National Park) kwa kuainisha mipaka na kuweka mawe. Sehemu ndogo iliyobaki maeneo ya Kitete nimeifikisha kwa Waziri wa Maliasili na Utalii na amethibitisha kuingiza kwenye bajeti ya mwaka huu wa fedha na litakamilika.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Vijimambo

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga

Makongoro Mahanga1. Shomari Kitogo, mkazi wa SegereaBarabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.Jibu: Kuna miradi mingi ya barabara na madaraja iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) katika Kata ya Kinyerezi, barabara ya kutoka Segerea-Kinyerezi hadi Majumba Sita imekamilika kuboreshwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Silvestry Koka

Uliahidi kutoa pikipiki moja kwa kila kata kwa vijana wa jimbo lako iwe mbegu ya kupata pikipiki nyingine, lakini mpaka sasa hujatekeleza, una mpango gani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi

Lini Jiji la Mbeya litapata barabara za njia mbili kupunguza msongamano?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joshua Nasari

Shamba la Madiira ni miongoni mwa mashamba 11 ambayo umiliki wake ulifutwa na Wizara ya Ardhi kwa agizo la Rais tangu mwaka 1999. Kwa sababu za uzembe na ufisadi mpaka sasa halijarudishwa kwa wananchi au halmashauri.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga

Barabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Joseph Selasini

Uliahidi kuwa ungehakikisha soko la Holili linakamilika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani