Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
Makongoro Mahanga1. Shomari Kitogo, mkazi wa SegereaBarabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.Jibu: Kuna miradi mingi ya barabara na madaraja iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) katika Kata ya Kinyerezi, barabara ya kutoka Segerea-Kinyerezi hadi Majumba Sita imekamilika kuboreshwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Dk Emmanuel Nchimbi
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Joseph Selasini
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:January Makamba
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Gregory Teu
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Dk Faustine Ndugulile