Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Dk Faustine Ndugulile
Kwa nini hutembelei baadhi ya maeneo hasa nje ya Tandika, Temeke na Buza naomba ututembelee usisubiri hadi uchaguzi ufike kwani huku maeneo ya Kurasini kuna kero nyingi tunahitaji kukuona siyo hadi wakati wa kampeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Silvestry Koka
Uliahidi kutoa pikipiki moja kwa kila kata kwa vijana wa jimbo lako iwe mbegu ya kupata pikipiki nyingine, lakini mpaka sasa hujatekeleza, una mpango gani?
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
Barabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Maswali kumi kwa mbunge wangu Aliko Kibona
Wewe na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kampeni za 2010 mliahidi kujenga barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole, lakini hivi sasa hakuna dalili wala maelezo kwa nini jambo hilo halijatekelezwa.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Murtaza Mangungu
Jibu: Barabara hii imefanyiwa matengenezo makubwa ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madaraja yote na sasa inapitika kipindi chote. Lipo tatizo katika eneo la Kinywanyu ambalo katika bajeti ya mwaka huu litafanyiwa matengenezo makubwa. Ujenzi pia umefanyika Barabara ya Nasaya - Mtondoa Kimwaga - Kandawale.
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu
Umewaagiza wananchi wasichangie miradi yao ya maendeleo kwa madai Serikali ina fedha za kutosha za kugharamia, mbona hadi sasa hujahimiza Serikali ilete hizo fedha pamoja na za ujenzi wa maabara?
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu: Suleiman Jafo
Kwanini Zahanati ya Kisanga haifunguliwi? Na wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunapata vifaa?
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Dk Emmanuel Nchimbi
Uliahidi kutasaidia mikopo kwa kina mama ili waweze kuanzisha miradi midogomidogo ya ufugaji, ufundi au utengenezaji batiki, Je, kwa nini hujatekeleza?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania