Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Gregory Teu

Uliahidi kuwa karibu na wananchi wako lakini hata ulipovuliwa unaibu waziri bado uko Dar je, ulitudanganya?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu Aliko Kibona

Wewe na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kampeni za 2010 mliahidi kujenga barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole, lakini hivi sasa hakuna dalili wala maelezo kwa nini jambo hilo halijatekelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Dk Faustine Ndugulile

Kwa nini hutembelei baadhi ya maeneo hasa nje ya Tandika, Temeke na Buza naomba ututembelee usisubiri hadi uchaguzi ufike kwani huku maeneo ya Kurasini kuna kero nyingi tunahitaji kukuona siyo hadi wakati wa kampeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu: Suleiman Jafo

Kwanini Zahanati ya Kisanga haifunguliwi? Na wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunapata vifaa?

 

10 years ago

Vijimambo

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga

Makongoro Mahanga1. Shomari Kitogo, mkazi wa SegereaBarabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.Jibu: Kuna miradi mingi ya barabara na madaraja iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) katika Kata ya Kinyerezi, barabara ya kutoka Segerea-Kinyerezi hadi Majumba Sita imekamilika kuboreshwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga

Barabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max

Uliwaahidi wakazi wa Kijiji cha Nyantorotoro, Geita maji baada ya kuwaona wanateseka kwa kunywa maji ya chumvi na meupe kama maziwa, lakini mpaka leo bado wanateseka.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mathias Chikawe

Umefanya mambo gani katika kuinua sekta ya elimu tangu uingie madarakani 2005 hadi sasa? Jibu: Wakati naingia madarakani mwaka 2005 shule za sekondari zilikuwa sita lakini sasa zipo 19. Nimejenga bweni moja shule maalumu ya wasichana wanalala wanafunzi 45.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani