Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Gregory Teu
Uliahidi kuwa karibu na wananchi wako lakini hata ulipovuliwa unaibu waziri bado uko Dar je, ulitudanganya?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda
Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Maswali kumi kwa mbunge wangu Aliko Kibona
Wewe na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kampeni za 2010 mliahidi kujenga barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole, lakini hivi sasa hakuna dalili wala maelezo kwa nini jambo hilo halijatekelezwa.
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Dk Faustine Ndugulile
Kwa nini hutembelei baadhi ya maeneo hasa nje ya Tandika, Temeke na Buza naomba ututembelee usisubiri hadi uchaguzi ufike kwani huku maeneo ya Kurasini kuna kero nyingi tunahitaji kukuona siyo hadi wakati wa kampeni.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu: Suleiman Jafo
Kwanini Zahanati ya Kisanga haifunguliwi? Na wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunapata vifaa?
10 years ago
Vijimambo18 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2526114/highRes/878424/-/maxw/600/-/yngo5f/-/Makongoro.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Makongoro Mahanga
Barabara hasa kutoka Segerea Mwisho hadi Makaburini ambako ni nyumbani kwako ni mbovu, nataka unipe maelezo ya kina na yenye matumaini ya utekelezaji ili unishawishi kukupa kura yangu katika uchaguzi ujao.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Donald Max
Uliwaahidi wakazi wa Kijiji cha Nyantorotoro, Geita maji baada ya kuwaona wanateseka kwa kunywa maji ya chumvi na meupe kama maziwa, lakini mpaka leo bado wanateseka.
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mathias Chikawe
Umefanya mambo gani katika kuinua sekta ya elimu tangu uingie madarakani 2005 hadi sasa?
Jibu: Wakati naingia madarakani mwaka 2005 shule za sekondari zilikuwa sita lakini sasa zipo 19. Nimejenga bweni moja shule maalumu ya wasichana wanalala wanafunzi 45.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania