Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi

Lini Jiji la Mbeya litapata barabara za njia mbili kupunguza msongamano?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Joseph Selasini

Uliahidi kuwa ungehakikisha soko la Holili linakamilika

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Moses Machali

Wilaya ya Kasulu inakabiliwa na wimbi kubwa la uhalifu na kila wanapokamatwa hata kama kuna vithibitisho vya kutosha, wahalifu hao huachwa bila kuchukuliwa hatua za kisheria na hivyo kuzidi kwa vitendo vya uhalifu. Utafanya nini ili kukomesha tabia ya polisi kuwaachia watuhumiwa kienyeji?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu: Suleiman Jafo

Kwanini Zahanati ya Kisanga haifunguliwi? Na wewe ulikuwa mstari wa mbele kuhakikisha tunapata vifaa?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mary Nagu

Robert Sulle, mchimbaji mdogo wa madini ya chumvi kwenye Kijiji cha Gendabi. Uwezeshaji wa mgodi wa chumvi umefikia hatua gani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Ezekia Wenje

Katika miaka minne ya ubunge wako umeleta mendeleo gani kwa wananchi hasa Kata ya Mkolani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:William Lukuvi

Kila mwaka tumekuwa tukichangishwa michango inayodaiwa kuwa ni ya maendeleo wakati mwingine tumekuwa tukichangia nguvu zetu katika kutekeleza baadhi ya majukumu, kwa nini hadi leo hatujawahi kusomewa mapato na matumizi ya kijiji chetu?.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani

Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani