MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: STEPHEN MASELE
Kwa kuwa tulikuchagua kuwa mwakilishi wetu na kwa bahati nzuri ukachaguliwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (kabla ya kuhamishwa), kwa nini hujaunganisha umeme katika kata zilizopembezoni kidogo na mjini hata za vijijini?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani
Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu: VICENT NYERERE
>Tuliahidi elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha sita kwa ngazi ya jimbo, hatukufanya hivyo zaidi ya kupunguza ada kwa kuwa tulitegema kuunda Serikali na kupata mawaziri ila haikuwa hivyo.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Philip Ndesamburo
>Mchakato wa Katiba umekuja kutokana na azimio la Bunge na agizo ama msukumo wa Rais.Kwa bahati mbaya Rais na chama chake CCM hawakutaka kukubali mchakato ambao utaleta Katiba yenye kuwalinda na kutetea masilahi ya Watanzania wote.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani
Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: OMARI NUNDU
Uliahidi kutupa mikopo kupitia mfuko wako wa Zindaba Fund, tukagharimia kupiga picha na mambo mengine ya maandalizi lakini hadi sasa hatusikii lolote. Unatuambiaje?
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Halima Mdee
>Kuna michango ya fedha ambayo inaibuka mara kwa mara hasa katika kipindi hiki tunachoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, mfano tumechangishwa Sh 10,000 kwa ajili ya maabara, lakini juzi tena tumekuja kuchangishwa Sh 3,000 ambayo tutatakiwa kulipa kila mwezi kwa ajili ya ulinzi shirikishi hata kama una mlinzi unayemlipa, je, utatusaidiaje kudhibiti michango ya namna hiyo.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa
Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?
10 years ago
Mwananchi24 Feb
MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Deogratias Ntukamazina
>Uliahidi kuondoa kero ya wazee kulipia gharama za matibabu katika vituo vya kutolea huduma, hadi sasa wananchi bado wanataabika. Je, umefanya jitihada gani kuhakikisha wazee hao wanatibiwa bure katika hospitali ndani ya meneo yao?
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Maswali 10 kwa Mbunge wangu-Saleh Pamba
Wakati wa kampeni za kuwania ubunge uliwaahidi wananchi kuwa wakikuchagua utafikisha umeme Kijiji cha Mkalamo, umefikia hatua gani?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania