Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: STEPHEN MASELE

Kwa kuwa tulikuchagua kuwa mwakilishi wetu na kwa bahati nzuri ukachaguliwa kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (kabla ya kuhamishwa), kwa nini hujaunganisha umeme katika kata zilizopembezoni kidogo na mjini hata za vijijini?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Stephen Ngonyani

Wakati unataka ubunge, uliahidi kufikisha umeme katika vijiji vya Antakaye, Migombani, Turiani na Mtemiroda lakini hadi leo hakuna umeme, mpango ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali 10 kwa mbunge wangu: VICENT NYERERE

>Tuliahidi elimu bure kuanzia chekechea hadi kidato cha sita kwa ngazi ya jimbo, hatukufanya hivyo zaidi ya kupunguza ada kwa kuwa tulitegema kuunda Serikali na kupata mawaziri ila haikuwa hivyo.

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Philip Ndesamburo

>Mchakato wa Katiba umekuja kutokana na azimio la Bunge na agizo ama msukumo wa Rais.Kwa bahati mbaya Rais na chama chake CCM hawakutaka kukubali mchakato ambao utaleta Katiba yenye kuwalinda na kutetea masilahi ya Watanzania wote.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: OMARI NUNDU

Uliahidi kutupa mikopo kupitia mfuko wako wa Zindaba Fund, tukagharimia kupiga picha na mambo mengine ya maandalizi lakini hadi sasa hatusikii lolote. Unatuambiaje?

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Halima Mdee

>Kuna michango ya fedha ambayo inaibuka mara kwa mara hasa katika kipindi hiki tunachoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, mfano tumechangishwa Sh 10,000 kwa ajili ya maabara, lakini juzi tena tumekuja kuchangishwa Sh 3,000 ambayo tutatakiwa kulipa kila mwezi kwa ajili ya ulinzi shirikishi hata kama una mlinzi unayemlipa, je, utatusaidiaje kudhibiti michango ya namna hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali 10 kwa mbunge wangu:Peter Msigwa

Ukosefu wa uelewa wa sheria umekuwa changamoto kubwa  kwa wananchi  wa Jimbo la Iringa Mjini, je, kwa nafasi yako ya ubunge umewasaidiaje wananchi katika kuwajengea uwezo kisheria?

 

10 years ago

Mwananchi

MASWALI 10 KWA MBUNGE WANGU: Deogratias Ntukamazina

>Uliahidi kuondoa kero ya wazee kulipia gharama za matibabu katika vituo vya kutolea huduma, hadi sasa wananchi bado wanataabika. Je, umefanya jitihada gani kuhakikisha wazee hao wanatibiwa bure katika hospitali ndani ya meneo yao?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali 10 kwa Mbunge wangu-Saleh Pamba

Wakati wa kampeni za kuwania ubunge uliwaahidi wananchi kuwa wakikuchagua utafikisha umeme Kijiji cha Mkalamo, umefikia hatua gani?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani