Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua
Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.
"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .
Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.
Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Rais Kikwete amtumia salamu za pole Dkt. Shein kufuatia mlipuko wa bomu Zanzibar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za pole Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kufuatia kuuawa kwa mtu mmoja na wengine sita kujeruhiwa akiwemo mhubiri wa amani ajulikanaye kama Sheikh Ahmed Haidari Jabir wa Zanzibar, kutokana na kurushwa kwa Bomu katika shughuli ya kidini iliyokuwa ikifanyika katika eneo la Darajani tarehe 13 Juni,2014, mjini Unguja.
‘Hicho ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu zote na watu wote...
10 years ago
Bongo518 Sep
New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
JK atoa salamu za pole kwa wanahabari
RAIS Jakaya Kikwete, amemtumia salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku, wa kampuni ya New...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s72-c/tff-1.jpg)
RAIS TFF ATUMA SALAMU ZA POLE KWA WAHANGA WA MAFURIKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s320/tff-1.jpg)
Katika salam zake kupitia kwa Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Mecky Sadik, Malinzi amesema familia zimepoteza makazi, miundombinu ya usafiri na michezo imeharibika na hata kuwa katika hali ya kutotumika, wanawake watoto, familia, shughuli za kiuchumi na kimichezo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s72-c/New%2BPicture.png)
Rais Magufuli atuma salamu za pole kwa IGP Mangu
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s1600/New%2BPicture.png)
Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi hapa Nchini IGP Ernest Mangu kufuatia kifo cha msaidizi wake Inspekta - Gerald Ryoba...
5 years ago
Michuzi9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-H6t8dYNzzeg/VnUtYzlpWLI/AAAAAAAAr-o/t2bVljV5Brw/s1600/tmp_3597-Jakaya_Kikwete_2011_%2528cropped%252996447027.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...