Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Steve RnB — Pole Pole (Tropical Riddim)

Baada ya tour ndefu za nje ya nchi akiwa na bendi ya In Africa, mwimbaji wa RnB Tanzania, leo September 18th, 2014, ameachia single yake mpya inayoitwa ‘Pole Pole’ ambayo iko kwenye midundo ya Reggae (Tropical Riddim). Isikilize

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WANA DMV WAJITOKEZA KUMPA POLE STEVE MSUNGU.

IMG_0482Kushoto Bw.Tumaini Katule akiwa kwenye kumfariji mfiwa Bw.Stephen Msungu nyumbani kwake Savern Md.Ijumaa Februari 20,2015. Steve amefiwa na baba yake mzazi Mzee Peter Msungu aliyefariki Ijumaa February 20 jijini Daressalaam Tanzania. IMG_0470Baadhi ya wakazi wa DMV Kie, Edda, Mametha na Melissa waliojitokeza msibani kuwafariji wafiwa. IMG_0477Hidaya Mahita. IMG_0481Kenny na Neema . IMG_0484Melissa. IMG_0487Stephen,Vitalis na Vincent. IMG_0478Elinita. IMG_0479Kie na Edda.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Steve RnB – Listen

Steve RnB

Msanii Steve RnB ameachia wimbo mpya unaitwa “Listen”, Producer Mbezi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo Movies

Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua

Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole  na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.

"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .

Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.

Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone...

 

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

STEVE RNB ATANGAZA NDOA, BARNABA AMTOLEA MAHARI MAMA STEVE

Stori: Musa Mateja
MSANII wa Bongo Fleva, Steven William ‘RnB’ juzikati aliweka wazi kuwa anatarajia kuoa Oktoba 11, mwaka huu huku mwanamuziki mwenzake Elias Barnaba akieleza kuwa amemtolea mahari mzazi mwenzake, mama Steve na siku si nyingi atafunga ndoa. Msanii wa Bongo Fleva, Elias Barnaba. Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, wasanii hao kila mmoja ameonesha dhamira ya kuishi katika njia...

 

10 years ago

GPL

STEVE RnB ALIVYOUAGA UKAPERA

Msanii wa Bongo Fleva, Steve RnB baada ya kufunga ndoa na Naimana Kuyangana juzi Jumamosi, Oktoba 11, mwaka huu. Mke wa Steve, Naimana Kuyangana. Msanii wa Bongo Fleva, Steve RnB juzi Jumamosi Oktoba 11, mwaka huu aliukacha ukapera kwa kufunga…

 

10 years ago

Jamtz.Com

11 years ago

TZToday

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani